digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Tatizo pengine dini yao haikubali utengano sasa afanyeje dinu
Boda anakata mauno kama Paka Chongo- mke wa Mwalimu kapagawa ile mbaya🤣Bodaboda 😡😡😡
Mkeka umetoa GG na 3+Wametufunga mbili. Tukio la Goba tulikuwa tunaongoza la Moshi wakawa wamesawazisha la Mang'ula naona wanaongoza tena
Sio tu kuficha aibu ya familia...anakuwa ni malaya, nyumbani hakuna hata pesa ya kula, anaamua kuolewa ili angalau apate sehemu ya kula na kulala (sio kama anaolewa na mtu anaempenda). Akishaolewa, ndio sasa anaanza kutafuta Mapenzi ya mtu anaempenda. Maana sasa si ana sehemu ya kula, na kulala? Mwili umetulia sasa...na Nyege zinakuja vizuri..anashiba na kulala vizuri.kaka wawatu maskini,,ivi hua hawatosheki kwa waume zao au ni vipi!?
Hao ndo wale malaya wameolewa ili kuficha aibu ya familia.
Shida ya mapenzi wahusika hamuwezi kutenganishwa bila wenyewe kuamua,sasa Mume eti una mwambia mkeo achana na mchepuko ni vichekesho.Yani mwanamke avue Tait akutane na chupi tena avue apanue miguu iingie hapo hakuna bahati mbaya ni kupiga chini tu uyo mwanamke.
Mkuu huyo ni malaya tu...Ukiona mtu anachepuka....ujue huyo ana vinasaba vya kimalaya...na hato-acha. Either umuache...au mtakuja kuuana siku moja.We una uhakika alikua malaya!?
Je kila anayechepuka basi alikua malaya!?
Futi hii kauli ya kitoto na kiduwanzi mkuu,hao viumbe ni wa kubadilika wakati wowote kiasi ukasema humjui kama ulivyokua wamjua zamani.
Mqanamke hatA umkaze na usimamie ukucha akiamua ameamua...Lakini wanaume tujitahidi kuwakaza hawa viumbe vizuri ili kuwaridhisha, Unakuta Mwanamme unapiga Show mbovu unategemea asichepuke? Wachomekeeni vizuri halafu uone kama atakusumbua... Kama huna nguvu za kiume jitahidi ukaongeze😂😂 na kwa wenye vibamia fanyeni mazoezi ya kurefusha mashine. Tuwatieni vizuri hawa Ndugu zetu
Kuna ka ukweli ndani yake.....kushona nguo sare, au kila sehemu kutembea pamoja mmshikana mikonoKarma is real,hapo baba,mama,mtoto wao(japo hakana hatia maskini) wote wapo nyavu.
N.B..ukiona jamaa anashonesha vitenge sare na mke wake,ujue ndio basi tena.
Mkuu hawa wanawake tunashindwa kuwaelewa tuwaweke fungu gani unaweza ukapiga machine lakn bado akachepuka binafsi naona kupiga machine sio kigezoLakini wanaume tujitahidi kuwakaza hawa viumbe vizuri ili kuwaridhisha, Unakuta Mwanamme unapiga Show mbovu unategemea asichepuke? Wachomekeeni vizuri halafu uone kama atakusumbua... Kama huna nguvu za kiume jitahidi ukaongeze😂😂 na kwa wenye vibamia fanyeni mazoezi ya kurefusha mashine. Tuwatieni vizuri hawa Ndugu zetu
Kiufupi mkuu mwanamke ni kiumbe asiyeeleweka.Mkuu huyo ni malaya tu...Ukiona mtu anachepuka....ujue huyo ana vinasaba vya kimalaya...na hato-acha. Either umuache...au mtakuja kuuana siku moja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu ukute anavuta Bangi, woiiiiihBoda anakata mauno kama Paka Chongo- mke wa Mwalimu kapagawa ile mbaya[emoji1787]
WANAUME tuna taabu sana aisee 😭😭Mwanamke mzuri tena kama shombeshombe