Morogoro: Atuhumiwa kula njama kumuua mumewe ili ale raha na bodaboda

100% upo sahihi- yaani utamu wote uliopo kwenye Konyagi, Nyama choma! Nije niteseke na Binti ya mtu ! Hapana aisee. Mimi naachana ane naendelea na life yangu. Atujazaliwa pamoja why nipate shida zote hizi
Tena hivi nina 36 years sijaoa. Sijui huyo mwanamke atakuwa na nini kipya mpaka nimsamehe. Mimi ntaowa sababu nataka kupata naye watoto tu. Zaidi ya hapo kwa huu upuuzi wa sasa heri kuenjoy peke yako.
 
Mpaka Sasa kataa ndoa wamesha tupiga goli MBILI..
 
Kwa boda hiyo ni hela nyingii, tena alikua mwalimu mkuu.
Famchezo nn wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakwambiaje, the motive behind murder sio mirathi ni mapenzi tu.
Wamuuwe wao waendelee na yao.
Mimi nshadate mke wa mtu akataka twende tukaloge mumewe waachane nikatoka nduki. Sasa ningemwambia tumuuwe unadhani asingekubali?
Ni mapenzi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…