ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Hakika nitajitutumua, hata nikishindwa itanibidi tu🤣🤣Mi nitaomba unibebe wewe 😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika nitajitutumua, hata nikishindwa itanibidi tu🤣🤣Mi nitaomba unibebe wewe 😅😅
😂😂 places ni mobHuko mbali ..kuna Materuni hapo kilimanjaro karibu tu.. tukuje Mwl halafu ndo tujue huko kwingine.. Panatazamika kishenzi
😂😂 place yoyote nikienda nikarudi naumwa, sirudipo.Nilifanya huko Mikumi Sia sahau nilirudi naumwa siku 3 na dawa za maumivu juu
😂😂😂😂😂 unataka ufanye hiking?Eeeh mashosti zangu wote wewe na Tayana-wog mmenigomea Bora niombe ushost na Depal maana naona katika hili yupo tayari🤣🤣🤣
unaonekana mtu wa tizi eti..hongera sana mkuuMazoezi sio lazima ila mimi hapa chamoto nakiona miguu inauna sana sana mapaja tokea jana (siku ya pili tokea nishuke) ni kwasababu sio mtu wa tizi kabisa.
Eeeeeh tenaa?nitaondoka na number ya bodaboda nikichoka kati kati ya mlima namstua faster mtanikuta juu😂😂😂😂😂 unataka ufanye hiking?
Anza kupima pumzi na squart hapo
😂😂😂Hakika utapewa medani ya ushujaaHakika nitajitutumua, hata nikishindwa itanibidi tu🤣🤣
Kuna fees zozote kuingia na kupita hizo gates, na pia tour guides wanatoza bei gani?No unasogea mbele zaidi unaipita hadi Kidatu, ni national park kabisa kuna Geti unaingia nadhani ukiulizia watakuelekeza zaidi huko njiani then wale tour guides ndio watakuelekeza pa kuikuta Sanje Trail, sijajua ukitaka kupanda mwenyewe inakuwaje maana sisi tulipanda na tour guides
Tuanzie magoroto kule tukishafanya hiking tuna cruise kwenye ziwaNjoo twende zetu kampani iwe kubwa!nawaita na kina Missy Gf Tayana-wog Lamomy jamani tukapande mlima
Una height kama yangu Cuzo.168cm
Bora kupanda kuliko kushuka🤣🤣🤣🤣🤣Vimilima vya Goba tu vinanitoaga jasho vya huko naweza Anza kulia bureee
Umenizidi moja 🤣🤣🤣🤣 nipo napambana kuitafuta 65🤣🤣🤣🤣Nina 72tu kg.
Babe sasa?Mzee kumbe nawe ni mshika bunduki..
COYG.
Mafia kulivyo mbali ujipange ila pazuuuuurii mnoooo....au muende na chopper ndogo hizi🤣🤣🤣 Kaniambia atanipeleka Mafia island nikaogelee na papa 😜
Hiking ni kipengele yaani uwe wa mazoezi kweli kweli...me sio mpenzi kabisa wa hiking ni mkumbo tu....yaani uandae vigimbi shogaangu 🤣🤣😂😂😂Hakika utapewa medani ya ushujaa
Ndo naenda mwenzio nikaogelee na papa pontwe 🤣🤣🤣Mafia kulivyo mbali ujipange ila pazuuuuurii mnoooo....au muende na chopper ndogo hizi
Me nilienda last year December nilienda na boti sikujua ni mbali hivyo weeeeeeNdo naenda mwenzio nikaogelee na papa pontwe 🤣🤣🤣
Unataka kuwa model 🤣🤣🤣?Umenizidi moja 🤣🤣🤣🤣 nipo napambana kuitafuta 65
Aisee unaweza tamani kuliaBora kupanda kuliko kushuka