Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
168cmUrefu wako ni ft ngapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
168cmUrefu wako ni ft ngapi
Kwa kweli safari njema 😂😂😂Eeeh mashosti zangu wote wewe na Tayana-wog mmenigomea Bora niombe ushost na Depal maana naona katika hili yupo tayari🤣🤣🤣
Kuna siku ntakuja niliwe na mamba 🤣🤣🤣Ila wewe nae Kwa kuoga kwenye vimito haujambooo,,🤣🤣🤣
Asante shooPoleee jmn shoo😅
🤣🤣🤣🤣Au kibokoKuna siku ntakuja niliwe na mamba 🤣🤣🤣
Tungeenda nae Ili mfike vizuri kileleni kabisaaKwa kweli safari njema 😂😂😂
Kilele cha mlimani ntapandishwa na bwana Kantry
🤣🤣🤣 Kaniambia atanipeleka Mafia island nikaogelee na papa 😜Tungeenda nae Ili mfike vizuri kileleni kabisaa
Yaani litanikuta jambo zito iko siku 😂😂😂🤣🤣🤣🤣Au kiboko
🤣🤣Kuna Moja Hilo kubwaa wanaliita papa potwe Angalia usije geuka kitoweo🤣🤣🤣 Kaniambia atanipeleka Mafia island nikaogelee na papa 😜
Ndo hilo hilo nataka nikacheze nalo 😂😂😂🤣🤣Kuna Moja Hilo kubwaa wanaliita papa potwe Angalia usije geuka kitoweo
Jamani mi sitaki taarifa mbaya mwisho wa mwaka huu🙇🙇🙇Bora tukateleze uluguruniNdo hilo hilo nataka nikacheze nalo 😂😂😂
😂😂😂😂 Tutajua huko hukoJamani mi sitaki taarifa mbaya mwisho wa mwaka huu🙇🙇🙇Bora tukateleze uluguruni
🤣🤣🤣🤣🤣Haya mi mnipe ofa ya kuwasubiri Kizimkazi,boss wangu hashindwi na jambo😂😂😂😂 Tutajua huko huko
Wewe si unaenda kupanda vilima vya choma? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haya mi mnipe ofa ya kuwasubiri Kizimkazi,boss wangu hashindwi na jambo
Huko mbali ..kuna Materuni hapo kilimanjaro karibu tu.. tukuje Mwl halafu ndo tujue huko kwingine.. Panatazamika kishenziPlan Master usije 😂😂😂
Yan mwal utaenda, utake usitake.. lazima nikubebe tukapate quality time huko njee mbali na kelele za mjini.
Kwa huo uzito ukishindwa wale jamaa wanakubeba bila shida 🤣🤣🤣🤣🤣Nina 72tu kg.
Sasa mabosi mkisafiri si lazima na Mimi niwasindikize,au hamuoni mwenzenu Mond vyenye anasafiri anafanyaje😁😁😁?Wewe si unaenda kupanda vilima vya choma? 🤣🤣🤣🤣
Mi nitaomba unibebe wewe 😅😅Kwa huo uzito ukishindwa wale jamaa wanakubeba bila shida 🤣
Nakwambia twende Mafia tukale samaki za kuchoma, we umekomalia kwenda kupanda vilima!! Mwisho uote vigimbi 🤣🤣🤣Sasa mabosi mkisafiri si lazima na Mimi niwasindikize,au hamuoni mwenzenu Mond vyenye anasafiri anafanyaje😁😁😁?