Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa eti nilikurupuka baada ya kupata kampani, wallahi usipokuwa na mazoezi unaweza jiuliza hivi ni nini kilinileta huku, hapo kwenye kushuka acha kabisa unaweza tamani ushuke kwa kubiringita tuAaaah ile siku sitakaa niisahau maana nilikurupuka tu baada ya kupata kampani na by then sikuwa na mazoezi yoyote.
Shughuli kubwa ikawa kushuka sasa, miguu haitaki, nilitamani nikae chini nijiburuze[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kilimanjaro yenyewe nilishindwa[emoji1787]
Hebu tuanze kwanza na hii ya Morning site then tujipange kwa kilimanjaro baby.
Hii kitu ni nzuri sana kwa couple, inaimarisha bond.
Aisee hapana,kwahyo nawe ulikutana nao?Sitakaa nithubutu huo utalii kama mambo yenyewe ni hayo,Bora vinipite[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu msituni nyoka si ndio nyumbani kwake?
Yaani ilikuwa ni ile "kesho tunakwenda hiking milima ya Uluguru hadi Morning site, Atoto are you inn?" sasa sijui nilifikiria ni kakichuguu naenda kupanda🙆🙆🙆 si nikakurupuka!!Hahaaa eti nilikurupuka baada ya kupata kampani, wallahi usipokuwa na mazoezi unaweza jiuliza hivi ni nini kilinileta huku, hapo kwenye kushuka acha kabisa unaweza tamani ushuke kwa kubiringita tu
Mimi kwa sasa kupanda milima ni hadi nipunguze huu uzito nilionao ndio tatizo, maana kwa kimo changu sitakiwi kuwa na uzito huu, nikiweza hilo tu basi naweza kuwa hiker na climber mzuri sana
Sababu nimi niko vizuri kwenye Kutembea ila milima mikubwa tu ndio tabu kupanda, niliwahi jaribu na Mlima Loleza Mbeya nikaishia njiani, ila eneo tambarare ukiniambia tutembee ushindwe wewe tu
Mmhh sijajua labda inategemea unaview kutokea wapi maana ile milima safu yake iko Morogoro na Iringa, sisi tuliingia kule kwenye national park kabisa kisha tukapanda ule upande wenye waterfalls ambao ni upande wa Moro, panavutia maana kuna sehemu kwenye yale maporomoko pametengeneza kitu kama ramani ya AfricaUduzungwa naionaga imekaa shagalabagala haivutii kupanda eti[emoji134][emoji134][emoji134]
....hahah masister wengine nuksi sana sasa shida zangu zimekua taarifa ya habari.. Siendi sasa Mchukue mmeo Plan Master mkatembezane huko.Surely mkuu G… mm kuna mdada ofsn alikuwa just a co worker.. ila ikaanza natoka nae tu tumeenda kula, mara tumesindikizana pale, wkend tumeenda wapi, mara hivi… sahivi bond imekomaa kaja kuwa best of the besties…
Kaka angu Certified Hater achukue desa
Ajikute tu eti hapendi heka heka za kuzurula.
Mimi kama dada mkuu nitahakikisha wifi anakutembezaaa
No unasogea mbele zaidi unaipita hadi Kidatu, ni national park kabisa kuna Geti unaingia nadhani ukiulizia watakuelekeza zaidi huko njiani then wale tour guides ndio watakuelekeza pa kuikuta Sanje Trail, sijajua ukitaka kupanda mwenyewe inakuwaje maana sisi tulipanda na tour guidesHahaa.. Sanje unafikia wapi? Ruaha pale kwenye kiwanda cha Sukari au? Nataka nijaribu siku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani ilikuwa ni ile "kesho tunakwenda hiking milima ya Uluguru hadi Morning site, Atoto are you in?" sasa sijui nilifikiria ni kakichuguu naenda kupanda[emoji134][emoji134][emoji134] si nikakurupuka!!
Nilifika mahali morning site napaona paleeee ila nguvu za kuendelea sina[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikawaambia waende tu watanikuta.
Kurudi saaaasa na kunyeshewa juu, niliumwaaa. Kesho yake asubuhi nikaamshwa tukakimbie lasivyo nitalazwa, nikawaambia nendeni tu niko tayari mnizike ila sio kwenda kukimbia.
We hutaki kuwa dada wa kisasa?🤣🤣🤣Shoo sitaki kuongeza vigimbi vya mguu nilivyonavyo vinanitosha🤣🤣🤣
Plan Master usije 😂😂😂....hahah masister wengine nuksi sana sasa shida zangu zimekua taarifa ya habari.. Siendi sasa Mchukue mmeo Plan Master mkatembezane huko.
Hamna bhana,unamchukua na wifi anavaa sports wear zake anapendezaa utafarijika sanaaa!Hio nature ya bustani za nyumbani inatosha tu 🤣! Yanini kufata majoka huko
🤣🤣🤣🤣Nina 72tu kg.Basi anza mazoezi kabla ya kupanda milima mikubwa, kama vimiinuko vya Goba, Makabe, Msumi huviwezi basi kauzito kaangaliwe upya🤣
Eeeh mashosti zangu wote wewe na Tayana-wog mmenigomea Bora niombe ushost na Depal maana naona katika hili yupo tayari🤣🤣🤣Mimi kutembea tu kwenda sokoni naona hekaheka ndo nikajipandishe vilima vya choma hivo?! 🤣🤣🤣
Nilifanya huko Mikumi Sia sahau nilirudi naumwa siku 3 na dawa za maumivu juuSalam wakuu.
Hii special kwa wakazi wa Dar na Pwani.
Najua mnakuaga busy sana, sana na kuna muda mnakosa ata muda wa kupumzisha akili na mwili, sababu ya muda na kipato kwa wengine.
Kuna hii Hiking Day trip ya kwenda Morogoro na kurudi, unaweza have some fun na uka relax sana mwili na akili.
Maandazi.
Kwakua muda mwingi itakua ni kupanda milima, vaa tu nguo utakazo kua comfortable mfano raba, Tshirt, buti. Mfano my outfit ilikua hivi:
View attachment 2820162
ila kama utakua na earpods kama unapenda podcast & music, na mfuko wa rambo kwaajili ya kuweka cm incase mvua ikikuchapa. Vingine labda maji au kopo la maji na hela ya emergency ata buku 5.
Mwanzo.
Unatoka Dar au Pwani na kwenda Moro kwa Bus, na ukifika Moro Msamvu unachukua bajaji hadi town then boda hadi kwa Mkuu wa Mkoa hapo ndio hiking itapoanzia.
Kama utakua na private car, unaweza enda hadi pale kwa mkuu wa mkoa kuna walinzi wanaweza kukuangalizia gari hadi utakaposhuka.
Safari
Utaanza mdogo mdogo kupanda milima ya Uluguru utapishana na vijiji mbalimbali ambapo utaona na kujifunza shughuli mbalimbali wanazofanya sana sana za kilimo.
View attachment 2820174
Vitu utakavyofanya.
1. Kwanza hiking.
View attachment 2820166
2. Pili, Forest walking.
View attachment 2820167
3. Tatu, utaona water falls mbalimbali maarufu zaidi ikiwa Choma waterfalls ila sikwenda kwasababu ya usalama kipindi cha mvua. Hii ni ndogo.
View attachment 2820168
4. Nne, kama utataka camping kuna mahala Wanafanya camping unaweza lala msituni lakini tuassume hii ni day trip kwahiyo hii hatutaidiscuss sana.
View attachment 2820176
5, Tano utakaa mbali na makelele ya mji.
View attachment 2820169
6, Sita, utakutana na wakazi wa uko wengi ni wakulima na wako friendly sana.
View attachment 2820173
Mfano wa mashamba zaidi:
View attachment 2820180
7. Saba, unaweza kuogelea. Maji ya baridi sana.
8. Nane, utajifunza jinsi wanavyo sambaza maji (kama DAWASA) ila kwa gravity. Aisee.
9, Tisa uta enjoy sana kama mtu wa nature.
View attachment 2820170
View attachment 2820181
Gharama.
Safari ya Dar to Moro ni Elfu 10 kwenda na 10 kurudi jumla 20.
Bodaboda na bajaji kutoka Msamvu to Town haizidi elfu 5 jumla.
Kula na snacks itategemea na tumbo lako tuassume elfu 10.
Jumla kuu 35 elfu.
Muda:
Ukifika kwa mkuu wa Mkoa saa 4 Tegemea kuspend kama masaa 6-8 kuanzia kupanda hadi kushuka. Kutegemea speed yako na jinsi utakavopenda kuzunguka.
Vitu vya kunote:
Chukua kopo la maji, yakiisha utayakuta uko juu ya mtoni.
Mkiwa wawili poa zaidi kupeana company ila ata solo unaweza.
Mtandao sio wa kuutegemea sana.
Msimu wa mvua hautabiriki dakika yoyote inamwagika.
View attachment 2820178
View attachment 2820172
Njia zinateleza sana, kuanguka muda wowote.
View attachment 2820171
View attachment 2820177
Hitimisho.
Hiking na nature sio ya kila mtu ila siku ukitaka kujaribu, jaribu.
Wakazi wa Moro wanaweza ongezea baadhi ya vitu nilivyosahau.
Pamoja.
Ila wewe nae Kwa kuoga kwenye vimito haujambooo,,🤣🤣🤣Huko me labda nifanye marudio!!
Nishaoga mpk mto Tangeni 🤣🤣🤣
Poleee jmn shoo😅Eeeh mashosti zangu wote wewe na Tayana-wog mmenigomea Bora niombe ushost na Depal maana naona katika hili yupo tayari🤣🤣🤣
Akikua ataelewa tunachomaanisha😁😁Anasema bora kelele za Ubungo🤣🤣🤣🤣kijana bishoo sana.
Urefu wako ni ft ngapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nina 72tu kg.