Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Umewaza nn we πππππ π π π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewaza nn we πππππ π π π
Duh! kimbembe,Haya ngoja tuone siku ya kupanda itakuwajeHaa Haa Hapo Lazima Utumie Miguu Yako
Ndiyo Inakamilisha Nia Hasa Ya Tukio Zima Pia Utaweza Kuona Sasa Yote Aliyoyasema Kwenye Thread Yake.
Ukiwa Ndani Ya Boda Kuna Mandhari Nyingi Hutaona Na Saa Ngapi Nafasi Ya Hata Kuuliza Utaipata
Memories zake hazifutiki milele aisee. Sio kama ukienda Bar, kesho tu ushasahau.Hiking nimewahi fanya huku arusha maeneo ilikuwa inaanza oldadai hadi huko juu ndani ndani msituni naunakutana na waterfalls meaning vyanzo vya maji,milima,miti, ndege wazuri na vingine vingi unaweza hata vua kambale huko juu .. so hiking ni nzuri hata karibu na arusha national park na mlima kilimanjaro, so ni raha unakutana na wanyama ambao hawang'ati kama swala, dikidiki na wengine ni raha
Hatujawahi shindwana π.... Tutayajenga Mwl unakitu.. yeeah Unakitu
Utanihadithia shoga anguDuh! kimbembe,Haya ngoja tuone siku ya kupanda itakuwaje
mnafaidi na canoingiUmewaza nn we ππππ
Daah punguza strees mkuu utakua na busara ndio msingi mkuu wa maisha ya binadamu yaani ukitaka kusafiri mpaka uone Uzi JF jua hapo una tatizo zaidi ya Tatizo wengine tushaimaliza Tanzania kuanzia Liwale mpaka Bukoba hizo Mbuga nafanya kuzirudia maana ndio field yangu...Baadhi ya Watanzania ni malofa sana kiakili.Tunazungumzia Adventures ambazo wengine hawana,nyie mnaleta mambo ya mipira ya Wazungu,mnasahau kwamba hata hao manowashabikia wanatamani kuja kufanya utalii hapa kwetu.Kwanza huko Arsenal nani anakujua wewe ngozi ya tako.Twenzetu Moro tukawaone wapogoro
.... Tumewahi, kwann hutaki nipa no yako.?ππHatujawahi shindwana π
Raha sanaa yaan πmnafaidi na canoingi
daah, setifaid heta anafaidi memaRaha sanaa yaan π
Mnasahau shida zote kwa muda
Mkitoka kurefresh mnatoka na akili mpya mnaanza kupambana tena
πππ bado hujasema.. yan hapo bado mwalim..... Tumewahi, kwann hutaki nipa no yako.?ππ
π€£π€£π€£ mbona ghafla sana hii mkuudaah, setifaid heta anafaidi mema
Yeeeah anafaidi sana akiwa online.....ila offline ni mwanachama wako mtiifu wa nyex kwa msaada wa pure coconut oildaah, setifaid heta anafaidi mema
HAHAHAHAHAHA qmmmmqYeeeah anafaidi sana akiwa online.....ila offline ni mwanachama wako mtiifu wa nyex kwa msaada wa pure coconut oil
Hilo si tatizo usijali, unachohitajika kufanya ni kushuka mlima kwa kwenda kinyumenyume.Tatizo linaanzia hapo kwenye kupanda mlima tuπ
Unaona unavyoniharibia kijana ππHAHAHAHAHAHA qmmmmq
muongo, ni mhudhuriaji mzuri wa ngaserero L. huyoUnaona unavyoniharibia kijana ππ
Milimani Kuna Mambo Yake Niipanda Hapo Pangawe Jeshini Unapokwenda Unapaona Ila Kufika Sasa Unaona Kama UchawiDuh! kimbembe,Haya ngoja tuone siku ya kupanda itakuwaje
Nyoka wanaogopa mapori na milima, ndiyo sababu wanakimbilia mijini.Haukukutana na majoka au vinyoka maana huyo mdudu namuogopa mno japokua natamani sana tu kufanya hiking.