Morogoro Day Trip: Kwa Wakazi wa Dar & Pwani

Morogoro Day Trip: Kwa Wakazi wa Dar & Pwani

Hiking nimewahi fanya huku arusha maeneo ilikuwa inaanza oldadai hadi huko juu ndani ndani msituni naunakutana na waterfalls meaning vyanzo vya maji,milima,miti, ndege wazuri na vingine vingi unaweza hata vua kambale huko juu .. so hiking ni nzuri hata karibu na arusha national park na mlima kilimanjaro, so ni raha unakutana na wanyama ambao hawang'ati kama swala, dikidiki na wengine ni raha
Memories zake hazifutiki milele aisee. Sio kama ukienda Bar, kesho tu ushasahau.
 
Baadhi ya Watanzania ni malofa sana kiakili.Tunazungumzia Adventures ambazo wengine hawana,nyie mnaleta mambo ya mipira ya Wazungu,mnasahau kwamba hata hao manowashabikia wanatamani kuja kufanya utalii hapa kwetu.Kwanza huko Arsenal nani anakujua wewe ngozi ya tako.Twenzetu Moro tukawaone wapogoro
Daah punguza strees mkuu utakua na busara ndio msingi mkuu wa maisha ya binadamu yaani ukitaka kusafiri mpaka uone Uzi JF jua hapo una tatizo zaidi ya Tatizo wengine tushaimaliza Tanzania kuanzia Liwale mpaka Bukoba hizo Mbuga nafanya kuzirudia maana ndio field yangu...
 
Morning site kitaambo dah,, wakati tuko primary enz hizo tulitembea sana huko juu,, tulikuwa tunachokoza ile mimbwa ya kizungu alafu tunakimbia 🀣,, unarudi home shat jekundu πŸ˜‚,,

Mwezi mtukufu tulikuwa tunashinda huko juu,, cheze maji lakini wapi swaum iko palepale πŸ₯Ί,,

Sijafika pale kwa kilele mnarani,,,

Ila kwingine tayar,,

Safi mtoa mada wapeleke wakajionee
 
Back
Top Bottom