balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Hao njian huwakuti labda uzame porin ndaniHahahahahah kutana na koboko ndio utajua yupo kwenye starehe zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao njian huwakuti labda uzame porin ndaniHahahahahah kutana na koboko ndio utajua yupo kwenye starehe zake
Kuna kupotea njia kama ambavyo tembo na fisi au simba wanaovamia kijiji.Hao njian huwakuti labda uzame porin ndani
Baadhi ya Watanzania ni malofa sana kiakili.Tunazungumzia Adventures ambazo wengine hawana,nyie mnaleta mambo ya mipira ya Wazungu,mnasahau kwamba hata hao manowashabikia wanatamani kuja kufanya utalii hapa kwetu.Kwanza huko Arsenal nani anakujua wewe ngozi ya tako.Twenzetu Moro tukawaone wapogoroFeb nadhani tutajua nani ndio mwenye kombe lake ila Man City ana % nyingi sana maana wale Wananchi wapo serious sana na kazi yao...
Tukale kuku na KUKU! 🤣🤣Unistue tukale kuku wa milimani
Umenichekesha mkuu, Ubungo na m.city panachosha, kelele na aina ya watu. Nenda shamba milimani huko ukafurahie uumbaji. Nenda hata Lushoto huko, upareni kwenu, moro kote huko unapata ladha tofauti na ya mjini.Sasa imagine natoka mjini naenda porini kukutana na mijoka. Hell no wacha nitulie zangu Ubungo tu nikitaka leisure time naenda Mlimani City kupata coffee nashangaa mizigo wee hadi nikiridhika nafsi narudi zangu kulala.
Hii itakuwa ni ajali kama ajali nyingine tu ambazo huwa hazina kinga.Kuna kupotea njia kama ambavyo tembo na fisi au simba wanaovamia kijiji.
Unakamata na papuchi za shamba bado zina harufu ya kienyeji siyo hizi za taoo zina harufu za Chinese.Umenichekesha mkuu, Ubungo na m.city panachosha, kelele na aina ya watu. Nenda shamba milimani huko ukafurahie uumbaji. Nenda hata Lushoto huko, upareni kwenu, moro kote huko unapata ladha tofauti na ya mjini.
Mbona unatufwokeya jama!Baadhi ya Watanzania ni malofa sana kiakili.Tunazungumzia Adventures ambazo wengine hawana,nyie mnaleta mambo ya mipira ya Wazungu,mnasahau kwamba hata hao manowashabikia wanatamani kuja kufanya utalii hapa kwetu.Kwanza huko Arsenal nani anakujua wewe ngozi ya tako.Twenzetu Moro tukawaone wapogoro
Mazoezi sio lazima ila mimi hapa chamoto nakiona miguu inauna sana sana mapaja tokea jana (siku ya pili tokea nishuke) ni kwasababu sio mtu wa tizi kabisa.sasa wakuu mkipotelea uko juu, tunamkopa nani?😄
na je naweza kwenda bila kuwa na mazoezi?
kudos uzi mzuri. 👏🙌
@mods mngepin hii nyuzi watu wapeane uzoefu wa mambo km haya
Eeee bn sema pako juu milimaniHahahahahah fork land sio mbali 🤣
Mambo yenu yakizungu zungu tukaanze fukuzana na manyoka mi siyataki mwl.. mi nipeleke kwenu tuHiking pekee niliyofanya ni ya Saanane Island.. kutembea kwenye zile rocks mpk kufika jumping stone.
Nitakupeleka mwal Certified Hater
Wapeleke mkuu, watakuchukia ila hawatakusahau.Dec kuna trip ya namna hii, nimepata idea nzuri. Nitashauri crew yangu twende hapo, japo sioni kiumbe wa kuweza kupanda vilima. Ila ni experience nzuri inaonekana.
Asante kwa kushare nasi.
Huko kwetu nitakuepeleka tukishatoka huko milimani 😂😂Mambo yenu yakizungu zungu tukaanze fukuzana na manyoka mi siyataki mwl.. mi nipeleke kwenu tu
Pamoja sana mkuu. Kule kunazidi kua kuzuri wanakijiji wanajitahidi sana kutunza mazingira.Mada yangu bora kwa mwaka huu, welldone mtoa mada na umenirudisha nyuma sana na nimekumbuka mengi sana,nilikua scout na badge yangu ya first class niliipatia pale BAHATI CAMP, nimebahatika hadi kufika morning side hadi pale kwenye mnara wa simu, utalii wa ndani ni mzuri mno kuchochea maendeleo ya ndani, yes hii nayo ninaiweka kwenye bucket list yangu InshaAllah