Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KUKU!π€£π€£Tukale kuku na KUKU! π€£π€£
Japo kweli mimi mvivu wa adventures, ila haya mambo mazuri sana. Je, unapafaham vizuri?
Huyo Extrovert ni bishoo sana wa town,π€£π€£... Haelewi nature inavyoleta utulivu wa afya ya akiliUmenichekesha mkuu, Ubungo na m.city panachosha, kelele na aina ya watu. Nenda shamba milimani huko ukafurahie uumbaji. Nenda hata Lushoto huko, upareni kwenu, moro kote huko unapata ladha tofauti na ya mjini.
Haa Haa Hapo Lazima Utumie Miguu YakoIla Nina swali,Mad Max huko milimani napanda na miguu yangu au bodaboda?maana Ile milima naionaga ni mirefu
π€£πππUkienda msimu wa kiangazi dah kufika juu shughuli ila huu msimu fresh unafika.
Kuna watu wanapanda na bodaboda ila gharama isio na maana. Kutoka kwa Mkuu wa Mkoa na kurudi boda anaweza kukuambia 15k hadi 20k wanaona we kishua mtalii kumbe mpambanaji umechoka makelele ya Kariakoo tu.
niliwahi kusikia pale duluti kuna hiking and canoeing....Nimecheka hapo kuanguka ni wakati wowote
Mad Max
Ahsante kwa kushea
Hizi akili zinatakiwa kupozwaa kwa kutolewa mjini kwenye kelele
Canoeing yes.. nishafanyaniliwahi kusikia pale duluti kuna hiking and canoeing....
umekula miguu ya njiwa unazurura balaa...Canoeing yes.. nishafanya
Hiking hapanaβ¦
Canoeing pia ipo Ngaresero Lodge, USA river. Pia wana horse riding, forest walk na croquet kwa wanaoweza.
Ts a very cool place⦠nikupeleke mwalim? Certified Hater
Hivi unataka ukanifanyeje? Mwl sikia Mimi hayo mambo nayaonaga tu Wala siyapendi kujichosha tuCanoeing yes.. nishafanya
Hiking hapanaβ¦
Canoeing pia ipo Ngaresero Lodge, USA river. Pia wana horse riding, forest walk na croquet kwa wanaoweza.
Ts a very cool place⦠nikupeleke mwalim? Certified Hater
Je nikihitaji kulala huko juu ni kiasi gani kwa kukadiria? Je kuna Kambi au sehemu maalumu ya kulala
Ndioo upo
πππ katika kurefresh ubongoumekula miguu ya njiwa unazurura balaa...
hongera aiseeπ
SijasikiaHivi unataka ukanifanyeje? Mwl sikia Mimi hayo mambo nayaonaga tu Wala siyapendi kujichosha tu
π π π πNgaresero Lodge
.... Tutayajenga Mwl unakitu.. yeeah UnakituSijasikia
Sijasoma hii reply
πππ
Memories zake hazifutiki milele aisee. Sio kama ukienda Bar, kesho tu ushasahau.Hiking nimewahi fanya huku arusha maeneo ilikuwa inaanza oldadai hadi huko juu ndani ndani msituni naunakutana na waterfalls meaning vyanzo vya maji,milima,miti, ndege wazuri na vingine vingi unaweza hata vua kambale huko juu .. so hiking ni nzuri hata karibu na arusha national park na mlima kilimanjaro, so ni raha unakutana na wanyama ambao hawang'ati kama swala, dikidiki na wengine ni raha