Morogoro Day Trip: Kwa Wakazi wa Dar & Pwani

Kuna fees zozote kuingia na kupita hizo gates, na pia tour guides wanatoza bei gani?
 
😂😂😂Hakika utapewa medani ya ushujaa
Hiking ni kipengele yaani uwe wa mazoezi kweli kweli...me sio mpenzi kabisa wa hiking ni mkumbo tu....yaani uandae vigimbi shogaangu 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…