PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Safi sanaaa...
Ukirudi DAR unakuwa na Akili mpya yenye ufahamu ndani yake
Ukirudi DAR unakuwa na Akili mpya yenye ufahamu ndani yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unistue tukale kuku wa milimaniDec kuna trip ya namna hii, nimepata idea nzuri. Nitashauri crew yangu twende hapo, japo sioni kiumbe wa kuweza kupanda vilima. Ila ni experience nzuri inaonekana.
Asante kwa kushare nasi.
Mkuu una WEZERE hatariMkuu, huduma ya kwanza labda wanakijiji wa jirani wakusaidie maana iyo kitu unafanya solo.
Tunaweza ongeza kwenye mahitaji ukawa na simple First Aid Kit ingawa hatuombei ayo yatokee.
Nilianguka mahala ila ilikua issue ndogo.
View attachment 2820246
Mbona hamuongelei RIGHT title contender? Are U underating the jogoo?Chelsea wanapigwa vita balaa wanakoenda wataenda kucheza ligi ya Russia maana ikionekana picha ya Abromovic tu Uwanjani wanakatwa points sijui fail lilionekana la Boss kazi ipo aisee...Arsenal bado hatuna nguvu ya Ubingwa kama Man City maana City anaweza kuzifunga Timu nyingi bila kuchoka kuliko Arsenal...
Nilikutana na VIPERS ila kwakuwa Mimi ni MWATA YAMVO I conquered them all.Haukukutana na majoka au vinyoka maana huyo mdudu namuogopa mno japokua natamani sana tu kufanya hiking.
Tatizo linaanzia hapo kwenye kupanda mlima tu😁
Acha uvivu banaa😀Tatizo linaanzia hapo kwenye kupanda mlima tu😁
Hayo mambo sio ya kufanya kama wewe ni wale "Riziki ya mbwa iko miguuni kwake." utakuja kunishukuru siku moja.Haya ndio mambo ya kufanya sasa.
Hahahahahah fork land sio mbali 🤣Raha sana aiseee nliwahi kwenda na mamsi Moja tulipita pale Kwa mkuu wa mkoa ila hatukwenda mbali sana😁😁😁tulipotea nkaja kutokea panaitwa foko land tukadaka Toyo nkarudi zangu town
Sasa imagine natoka mjini naenda porini kukutana na mijoka. Hell no wacha nitulie zangu Ubungo tu nikitaka leisure time naenda Mlimani City kupata coffee nashangaa mizigo wee hadi nikiridhika nafsi narudi zangu kulala.Nilikutana na VIPERS ila kwakuwa Mimi ni MWATA YAMVO I conquered them all.
Kavu sana Extrovert ujue umenichekesha sana pana jamaa mmoja anasema aliwahi toka home huku mvua inanyesha maana akikaa home moto hautawaka Wananchi mna maneno sana...Hayo mambo sio ya kufanya kama wewe ni wale "Riziki ya mbwa iko miguuni kwake." utakuja kunishukuru siku moja.
Feb nadhani tutajua nani ndio mwenye kombe lake ila Man City ana % nyingi sana maana wale Wananchi wapo serious sana na kazi yao...Mbona hamuongelei RIGHT title contender? Are U underating the jogoo?
The Citizens wapo kama Citizens wenzao siyo!Feb nadhani tutajua nani ndio mwenye kombe lake ila Man City ana % nyingi sana maana wale Wananchi wapo serious sana na kazi yao...
Usiogope ,nyoka nao wanakuwa kwenye matanuzi yao hawana shida hadi uwachokozeSasa imagine natoka mjini naenda porini kukutana na mijoka. Hell no wacha nitulie zangu Ubungo tu nikitaka leisure time naenda Mlimani City kupata coffee nashangaa mizigo wee hadi nikiridhika nafsi narudi zangu kulala.
Hahahahahah kutana na koboko ndio utajua yupo kwenye starehe zakeUsiogope ,nyoka nao wanakuwa kwenye matanuzi yao hawana shida hadi uwachokoze