Morogoro Day Trip: Kwa Wakazi wa Dar & Pwani

Morogoro Day Trip: Kwa Wakazi wa Dar & Pwani

Mada yangu bora kwa mwaka huu, welldone mtoa mada na umenirudisha nyuma sana na nimekumbuka mengi sana,nilikua scout na badge yangu ya first class niliipatia pale BAHATI CAMP, nimebahatika hadi kufika morning side hadi pale kwenye mnara wa simu, utalii wa ndani ni mzuri mno kuchochea maendeleo ya ndani, yes hii nayo ninaiweka kwenye bucket list yangu InshaAllah
 
Chelsea wanapigwa vita balaa wanakoenda wataenda kucheza ligi ya Russia maana ikionekana picha ya Abromovic tu Uwanjani wanakatwa points sijui fail lilionekana la Boss kazi ipo aisee...Arsenal bado hatuna nguvu ya Ubingwa kama Man City maana City anaweza kuzifunga Timu nyingi bila kuchoka kuliko Arsenal...
Mbona hamuongelei RIGHT title contender? Are U underating the jogoo?
 
Sasa imagine natoka mjini naenda porini kukutana na mijoka. Hell no wacha nitulie zangu Ubungo tu nikitaka leisure time naenda Mlimani City kupata coffee nashangaa mizigo wee hadi nikiridhika nafsi narudi zangu kulala.
Usiogope ,nyoka nao wanakuwa kwenye matanuzi yao hawana shida hadi uwachokoze
 
Back
Top Bottom