Morogoro: Dereva bodaboda auawa, atobolewa macho

Morogoro: Dereva bodaboda auawa, atobolewa macho

Kuna stori sijui ka umewahi kuzisikia kuwa kile kiini cha jicho kuwa kinatunza picha ya mtu aliyemuona kwa mara ya mwisho?

Wauaji pengine walikuwa na mindset hiyo wakaogopa ikitokea polisi wanafanya upelelezi halafu wakafika hatua ya kuangalia jicho liliona nini mara ya mwisho si wataweza kuwa exposed

Nadhani ndio sababu ya kumtoboa macho
Ile nayo ni ya kweli au ni mbinu tu ya polisi kubaini mwizi?

Nauliza
 
Kuna stori sijui ka umewahi kuzisikia kuwa kile kiini cha jicho kuwa kinatunza picha ya mtu aliyemuona kwa mara ya mwisho?

Wauaji pengine walikuwa na mindset hiyo wakaogopa ikitokea polisi wanafanya upelelezi halafu wakafika hatua ya kuangalia jicho liliona nini mara ya mwisho si wataweza kuwa exposed

Nadhani ndio sababu ya kumtoboa macho
Hakuna ukweli wowote kuhusu kiini cha macho kutunza picha. Ila wauaji wengi wa Bongo ndivyo wanavyoamini ndiyo maana wanatoboa macho wanapooua.
 
Wake za watu sumu
Ukiona mke wako anatembea na bodaboda au ametembea na mwanamme mwingi basi wa kulaumiwa na huyo mke. Ni kweli mtu unaweza kuwa na hasira sana hasa unapoona mwanaume aliyetembea na mke wako amefanya hivyo huku akijua ni mke wa mtu na hii inaonyesha ana dharau mwenye mke, lakini tuwe wakweli, mwenye kosa kubwa ni mke wako. Na zaidi ukiona mke wako ametembea na bodaboda basi huyo hafai kabisa kabisa ni kumtimua kama mbwa koko.
 
Kula chuma hicho, ukifanya upumbavu kitachokukuta ni shauri yako...
Hayo mauwaji hayana usiano na mapenzi,ni unyanganyi, ingekua kisasi chombo kisingechukuliwa, atakae kutwa na chombo ataliwa kichwa na Mahakama!!
 
Ukiona mke wako anatembea na bodaboda au ametembea na mwanamme mwingi basi wa kulaumiwa na huyo mke. Ni kweli mtu unaweza kuwa na hasira sana hasa unapoona mwanaume aliyetembea na mke wako amefanya hivyo huku akijua ni mke wa mtu na hii inaonyesha ana dharau mwenye mke, lakini tuwe wakweli, mwenye kosa kubwa ni mke wako. Na zaidi ukiona mke wako ametembea na bodaboda basi huyo hafai kabisa kabisa ni kumtimua kama mbwa koko.
Mwanaume ndiye mtu mwenye akili timamu tangu Dunia inaumbwa


Mwanamke ni kiumbe dhaifu sana licha ya wadhifa na cheo kikubwa alichonacho bado ukimuimbisha vizuri unapiga.

Licha ya kupewa Kila kitu bado mwanamke anaweza kutembea na bonge la fala yaani ili mradi lijue kutongoza.

Mwanamke hajui anataka nini,
Mwanaume nitakaye msamehe ni yule atakayetembea na mke wangu bila kujua

Lakini Kuna vidume wanakujua wanamleta hadi kwako mkeo Kisha anakucheka na kukutangazia, lengo akuvue utu weeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom