data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Don't expect otherwise..Preliminary investigation ndio zimebainisha kwamba victim alikuwa anatoka na mke wa mtu?[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Don't expect otherwise..Preliminary investigation ndio zimebainisha kwamba victim alikuwa anatoka na mke wa mtu?[emoji848]
Shangaa wewe,unajua mambo yasipokukuta ni rahisi sana kuongea ujisikiavyoPreliminary investigation ndio zimebainisha kwamba victim alikuwa anatoka na mke wa mtu?[emoji848]
Huna akili 😠😠😡😡😡🤬🤬🤬🤬🤬Si huwa mwajisifia kuwatomba wake za watu.
Kuleni chuma hicho
We jamaaSi huwa mwajisifia kuwatomba wake za watu.
Kuleni chuma hicho
Wake za watu sumuBaadhi ya binadam wa roho ngumu sana, unaua mtu kisa pikipiki ya chini 2 million?
Stupid!
Ile nayo ni ya kweli au ni mbinu tu ya polisi kubaini mwizi?Kuna stori sijui ka umewahi kuzisikia kuwa kile kiini cha jicho kuwa kinatunza picha ya mtu aliyemuona kwa mara ya mwisho?
Wauaji pengine walikuwa na mindset hiyo wakaogopa ikitokea polisi wanafanya upelelezi halafu wakafika hatua ya kuangalia jicho liliona nini mara ya mwisho si wataweza kuwa exposed
Nadhani ndio sababu ya kumtoboa macho
Kuna msemo unasema "unayemwona kichaa , mama yake anamwona mgonjwa".. huku watu Wana comment kwa mihemko sana pasipo hata kujua ni Nini ana comment...[emoji848]Shangaa wewe,unajua mambo yasipokukuta ni rahisi sana kuongea ujisikiavyo
Inaumiza sanaKuna msemo unasema "unayemwona kichaa , mama yake anamwona mgonjwa".. huku watu Wana comment kwa mihemko sana pasipo hata kujua ni Nini ana comment...[emoji848]
Bro , kwani nawe umekuwa mhanga wa bodaboda kuzini na ubavu wako? Mbona ume comment kwa chuki sana as if huyo aliyeuliwa ni kuku?Don't expect otherwise..
Heh!!Bro , kwani nawe umekuwa mhanga wa bodaboda kuzini na ubavu wako? Mbona ume comment kwa chuki sana as if huyo aliyeuliwa ni kuku?
Hakuna ukweli wowote kuhusu kiini cha macho kutunza picha. Ila wauaji wengi wa Bongo ndivyo wanavyoamini ndiyo maana wanatoboa macho wanapooua.Kuna stori sijui ka umewahi kuzisikia kuwa kile kiini cha jicho kuwa kinatunza picha ya mtu aliyemuona kwa mara ya mwisho?
Wauaji pengine walikuwa na mindset hiyo wakaogopa ikitokea polisi wanafanya upelelezi halafu wakafika hatua ya kuangalia jicho liliona nini mara ya mwisho si wataweza kuwa exposed
Nadhani ndio sababu ya kumtoboa macho
DuuuuhSi huwa mwajisifia kuwatomba wake za watu.
Kuleni chuma hicho
Ukiona mke wako anatembea na bodaboda au ametembea na mwanamme mwingi basi wa kulaumiwa na huyo mke. Ni kweli mtu unaweza kuwa na hasira sana hasa unapoona mwanaume aliyetembea na mke wako amefanya hivyo huku akijua ni mke wa mtu na hii inaonyesha ana dharau mwenye mke, lakini tuwe wakweli, mwenye kosa kubwa ni mke wako. Na zaidi ukiona mke wako ametembea na bodaboda basi huyo hafai kabisa kabisa ni kumtimua kama mbwa koko.Wake za watu sumu
Hayo mauwaji hayana usiano na mapenzi,ni unyanganyi, ingekua kisasi chombo kisingechukuliwa, atakae kutwa na chombo ataliwa kichwa na Mahakama!!Kula chuma hicho, ukifanya upumbavu kitachokukuta ni shauri yako...
Mwanaume ndiye mtu mwenye akili timamu tangu Dunia inaumbwaUkiona mke wako anatembea na bodaboda au ametembea na mwanamme mwingi basi wa kulaumiwa na huyo mke. Ni kweli mtu unaweza kuwa na hasira sana hasa unapoona mwanaume aliyetembea na mke wako amefanya hivyo huku akijua ni mke wa mtu na hii inaonyesha ana dharau mwenye mke, lakini tuwe wakweli, mwenye kosa kubwa ni mke wako. Na zaidi ukiona mke wako ametembea na bodaboda basi huyo hafai kabisa kabisa ni kumtimua kama mbwa koko.