Morogoro: Dereva bodaboda auawa, atobolewa macho

Watu ni mapenzi tu wanawaza ..ubatili mtupu
 
Si huwa mwajisifia kuwatomba wake za watu.

Kuleni chuma hicho
Itabidi uripoti kituo cha polisi ulisaidie jeshi la polisi kwenye hii homicide. Maana tayari umetusaidia kuestablish motive.
 
Hizi story za vijiweni tu kama zile za kusema ndege ikigusa mchanga inalipuka.

Wewe jicho linatunzaje image ya mwanadamu limekuwa kamera.
 
Hii ingekuwa ni kweli basi zile open cases nyingi za huko USA za mauwaji zingekuwa solved
 
Hizi story za vijiweni tu kama zile za kusema ndege ikigusa mchanga inalipuka.

Wewe jicho linatunzaje image ya mwanadamu limekuwa kamera.
Umejisumbua kidogo kusoma hizo details nilizokuwekea?
 
Umejisumbua kidogo kusoma hizo details nilizokuwekea?
Yeah nimesoma. But if ingekuwa ni effective method then fuatilia zile cases za Serial killers huko USA uone namna askari wanahangika upelelezi uone kama wanaongelea swala la macho kutumika kama kitendea kazi.
 
Yeah nimesoma. But if ingekuwa ni effective method then fuatilia zile cases za Serial killers huko USA uone namna askari wanahangika upelelezi uone kama wanaongelea swala la macho kutumika kama kitendea kazi.
Mi mwenyewe nimefikiria hivyo ila nilichowaza pengine ni njia moja ngumu sana ambayo inaweza kukupa majibu tofauti

Kwasababu kuna process zimeelezewa kuwa unaenda mpaka kwenye ubongo ambapo taarifa zote za jicho zinapotafsiriwa.

Yani optogram ni very paradox and confusing
 
Mwenyekiti wa mtaa hajielewi.
 
Huyo jamaa(R.I.P) sio bodaboda kwa maana ya kusafirisha abiria ila anamiliki pikipiki na biashara yake kuu ni kuuza maji na mkaa pia. Pikipiki iliyoibiwa huku wanaita mcharaka yaani imeisha.
Plus huyo mwenyekiti ni ndezi anataka akamate wavuta bangi na tukio halijatokea mtaani kwake.!
 
Wee uko hapo karibu na eneo la tukio??
 
Bila kwenda kusoma hizo rejea zako, hili ni jambo nililo na uhakika nalo: HALIPO. Kuna jitihada kubwa zilifanywa na huyo mjerumani Will Kunhe lakini hakufanikiwa na mpaka sasa hatujafanikiwa. Kuna forensic methods nyingine nyingi tu za kisasa zinatumika na zinaoneka zikitumika in real time na ushahidi wake kupelekwa mahakamani na watuhumiwa kutiwa hatiani. Nitajie hata kesi moja ambayo hii njia imeshatumika na mahakama ikamtia hatiani mhalifu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…