Uchaguzi 2020 Morogoro: Devotha Minja amewasilisha fomu bila picha kitendo kinachomnyima sifa ya kuwa Mgombea

Troll JF

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
7,804
Reaction score
12,237
Wakati tunalaumu Tume ya Uchaguzi kuna makosa ambayo yanaepukika kama hili la Devota Minja ni makosa ya Kitoto yanayofanywa na aliyekua Mbunge.

CHADEMA mchunguzeni huyu kuna viashiria vya Rushwa iliyopelekea kujaza Form hovyo pasipo kuambatanisha viambatanisho muhimu kama Picha.

Unaenda Kugombea Nafasi kubwa kama hiyo lakini Form yako hata kuikagua unashindwa?

Picha za Form zimeambatanishwa hapa chini kwa marejeo.

 
Hilo nafasi ya jimbo la uchaguzi mbona kama mmefutafuta? Hapo mjini ni vilaza kwa hiyo mpaka hata wagombea wengine waenguliwe?
 
Unajua watu wengi hawajui sababu ya vigezo vya kugombea ni lazima ujue kusoma na kuandika..SASA usipojaza fomu vizuri Kwa kufata maelezo yaliyoandikwa Kwa Kiswahili tafsiri yake inakua kwamba hujui kusoma au kuandika au vyote Kwa pamoja.
 

Na angebandika picha wangesema ameharibu fomu maana ameweka picha sehemu isiyostahiki.

CCM Mpya waoga sana, hawakosi visingizio.
 
Uonevu mtupu. Hizo picha si ni kumwambia akapige tu kisha azilete?
Unaweza kufanya kosa dogo tu, wenzako wakatumia kosa hilo kukuadhibu
We ulitaka akumbushwe na nani?
Makosa madogo Kama yalitughalimu wale ma ccm wakachukua vijiji na vitongoji vyote.
 
Ni ujinga wa kiwango cha juu kuliko. Mgombea anapowasilisha fomu kwani hakuna chech list, wanakaa pamoja na msimamizi na kama kuna kitu kimepungua anaambiwa? Kwa nini wanafanya kama ni uchaguzi wa kutegeana.

Chadema wanasahau ya muhimu.. wanapoteza muda kutunga matukio.. safi sana..

Hawajifunzi na watajiju..

Magufuli 2020 💯
 
Jambo dogo hilo , msimamizi tekeleza wajibu wako.
Hivi kweli hiyo inatosha kumnyima mtu haki ya kuchaguliwa?. Uhuru wa tume utaonekana kwa kwa kuchukua hatuwa kwenye matukio kama hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…