macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Hili sio tatizo la Chadema bali ni tatizo la tume. Watu tumebarikiwa kuwa na akili kuliko nyani lakini wao tume wanafanya mambo ya kijinga kuliko hata nyani wenyewe!Chadema wanasahau ya muhimu.. wanapoteza muda kutunga matukio.. safi sana..
Hawajifunzi na watajiju..
Magufuli 2020 💯