Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuandike Nini? Kwani tuko chumba Cha mtihani? Mtupishe sieMnaandika lakini?
Kwa hiyo makosa ya kijinga kila siku wakafanya chadema tu?mbona Act na cuf hatusikii walisahau picha au kugonga muhuri?Mantiki yangu ni kuwa kurudisha fomu kusiwe na mitego ya kijinga. Makosa madogo kama kutokuwa na picha siyo ya kufanya mtu asigombee. Tume inatakiwa kufanya kazi kisomi kwa kutumia busara na siyo kwa mitego ya kijinga kabisa. (hapa nimejibu nuki-assume ni kweli alisahau picha kwani ''makosa'' mengi ya wapinzani ni kutengenezwa).
Uchunguzi unahitajika.Wakati tunalaumu Tume ya Uchaguzi kuna makosa ambayo yanaepukika kama hili la Devota Minja ni makosa ya Kitoto yanayofanywa na aliyekua Mbunge.
CHADEMA mchunguzeni huyu kuna viashiria vya Rushwa iliyopelekea kujaza Form hovyo pasipo kuambatanisha viambatanisho muhimu kama Picha.
Unaenda Kugombea Nafasi kubwa kama hiyo lakini Form yako hata kuikagua unashindwa?
Picha za Form zimeambatanishwa hapa chini kwa marejeo.
View attachment 1547771View attachment 1547772
hivi ndivyo inapaswa kuwa, ajabu kwa kufanya hivyo mkurugenzi atakuwa kamfurahisha jiwe kishenzi...yule dingi ana roho mbaya sn tofauti kbs na tunavyomuona makanisani!...sasa si wampe nafasi awape hiyo picha?
..wasimamizi wanatakiwa wawezesha wananchi kugombea, na siyo kuwa kikwazo cha wananchi kugombea nafasi.
Kusahau ni kosa la kibinadamu. Lakini pia ni kosa kubwa kwani ni kielelezo cha uhalisi na uhalali wa mwenyefomu. Umuhimu wa picha sawa na sahihi.( signature)Mtu kakaa na fomu wiki nzima. Leo mnamuambia msimamizi wa uchaguzi ampe muda. Sheria ndo inavyosema hivyo?
Rudia kusoma.Ume dhulumiwa nini?
Hilo nafasi ya jimbo la uchaguzi mbona kama mmefutafuta? Hapo mjini ni vilaza kwa hiyo mpaka hata wagombea wengine waenguliwe?
Wakati tunalaumu Tume ya Uchaguzi kuna makosa ambayo yanaepukika kama hili la Devota Minja ni makosa ya Kitoto yanayofanywa na aliyekua Mbunge.
CHADEMA mchunguzeni huyu kuna viashiria vya Rushwa iliyopelekea kujaza Form hovyo pasipo kuambatanisha viambatanisho muhimu kama Picha.
Unaenda Kugombea Nafasi kubwa kama hiyo lakini Form yako hata kuikagua unashindwa?
Picha za Form zimeambatanishwa hapa chini kwa marejeo.
View attachment 1547771View attachment 1547772
Lakini mbona fomu haioneshi sehemu ya kubandika picha sasa wanataka ujuwaje kama kuna sehemu ya kubandika Picha au ndo kujaza fomu kwa mazoea
Unaweza kufanya kosa dogo tu, wenzako wakatumia kosa hilo kukuadhibu
We ulitaka akumbushwe na nani?
Makosa madogo Kama yalitughalimu wale ma ccm wakachukua vijiji na vitongoji vyote.
Wakati tunalaumu Tume ya Uchaguzi kuna makosa ambayo yanaepukika kama hili la Devota Minja ni makosa ya Kitoto yanayofanywa na aliyekua Mbunge.
CHADEMA mchunguzeni huyu kuna viashiria vya Rushwa iliyopelekea kujaza Form hovyo pasipo kuambatanisha viambatanisho muhimu kama Picha.
Unaenda Kugombea Nafasi kubwa kama hiyo lakini Form yako hata kuikagua unashindwa?
Picha za Form zimeambatanishwa hapa chini kwa marejeo.
View attachment 1547771View attachment 1547772
Nadhani wanafanya kuleta vuruguChadema wanasahau ya muhimu.. wanapoteza muda kutunga matukio.. safi sana..
Hawajifunzi na watajiju..
Magufuli 2020 💯
Huu ni ushahidi kwamba NEC inashirikiana na chama Tawala kuonea wapinzani. Mbona hakuna mgombea wa CCM anaefanyiwa hivi?Hivi kweli hiyo inatosha kumnyima mtu haki ya kuchaguliwa?. Uhuru wa tume utaonekana kwa kwa kuchukua hatuwa kwenye matukio kama hayo.