A kid?😎R.I.P classmate
Na alikuwa classmate?Ndio mkuu
Utasikia serikali inagharamia mazishi, then kwenye mazishi watasema pengo lake halizibikiMwili wa mwanafunzi Yulia Samson Difrata, mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Chigela, umeondolewa eneo la ajali...
Pigia mstariAdui wa Mwafrika ni mwafrika mwenyewe!
Unaweza kuambiwa hawakusimama ilaa wamefika mbele wakatoa maelekezo kwa OCD akatoe mwilimkoani Morogoro ambapo inadaiwa mwanafunzi huyo amegongwa na gari la serikali ambalo halikusimama baada ya kumgonga.