MOROGORO - Moto mkubwa unavyoteketeza safu ya milima ya Uluguru kwa zaidi ya wiki moja sasa , milima hiyo ina umuhimu wa kipekee kwa kuwa ni vyanzo upatikanaji wa maji yanayotegemewa na wananchi wa Manispaa ya Morogoro na mikoa jirani.
Chanzo: habarileo_tz
Mdogo wangu wa damu kabisa steveachi na wengineo mlioko Morogoro kulikoni? Tafadhali hebu tujalieni Taarifa Ok?