chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Afadhali zote ni nyumba za Ibada, cha msingi kuheshimiana na kuvumiliana bila makwazo. Ingekuwa ni BAR ama nyumba za starehe zimepakana na nyumba za Ibada hapo ingeweza kuleta sintofahamu kidogo.
Pia Watanzania tutambue changamoto ya Uhaba wa ardhi kwa siku zijazo. Itafikia wakati Jengo la ghorofa juu kuna hotels au bar, chini kanisa na floor ya mwanzo ni msikiti
Pia Watanzania tutambue changamoto ya Uhaba wa ardhi kwa siku zijazo. Itafikia wakati Jengo la ghorofa juu kuna hotels au bar, chini kanisa na floor ya mwanzo ni msikiti