Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,428
- 6,929
Sio humu jf,,, humu ukizingua tunazinguana, mbona jamaa kakashifu mashekhe na hakuna mtu yoyote aliemuatack? Kwani mimi kosa langu lipi hapo? Nimemjibu coment yake kama alivyoiletaUsiishi kupitia makosa ya wengine, ishi kwa misingi yako mizuri