Dar es Salaam, eneo linaitwa Darajani, Barabara ya Nyerere mkono wa kushoto kabla ya kufika petroli station kwenye kona ya Chang'ombe, kuna kanisa na msikiti wamepakana, hakuna mgogoro wowote kila mtu na hamsini zake. Kwenye kile kikanisa ndipo deal lilichongwa Reginald Mengi akaanza kuitwa Dk Reginald Mengi. Hii dunia iko poua sana, wanadamu ndio wenye shida!Manispaa ya morogoro Kuna eneo nadhani ukitoka hospital kubwa Kama unaelekea bigwa Kuna sehemu mkono wa kulia Kuna kanisa Kama sio yehova ni sabato; kanisa Hilo linapakana ukuta tu na eneo linapojengwa msikiti mkubwa Sana. Sasa naomba mamlaka husika za kiserikali zitolee ufafanuzi kwamba hakutakuwa na shida huko baadae? Wakati Hawa wakiimba mapambio huku wengine wanapiga adhana.
Mods naomba msifute huu Uzi.
Hakuna shida kwa maana ratiba zao za ibada haziingiliani.Manispaa ya morogoro Kuna eneo nadhani ukitoka hospital kubwa Kama unaelekea bigwa Kuna sehemu mkono wa kulia Kuna kanisa Kama sio yehova ni sabato; kanisa Hilo linapakana ukuta tu na eneo linapojengwa msikiti mkubwa Sana. Sasa naomba mamlaka husika za kiserikali zitolee ufafanuzi kwamba hakutakuwa na shida huko baadae? Wakati Hawa wakiimba mapambio huku wengine wanapiga adhana.
Mods naomba msifute huu Uzi.
Uhaba wa ardhi tza haupo hata miaka 500 ijayoAfadhali zote ni nyumba za Ibada, cha msingi kuheshimiana na kuvumiliana bila makwazo. Ingekuwa ni BAR ama nyumba za starehe zimepakana na nyumba za Ibada hapo ingeweza kuleta sintofahamu kidogo.
Pia Watanzania tutambue changamoto ya Uhaba wa ardhi kwa siku zijazo. Itafikia wakati Jengo la ghorofa juu kuna hotels au bar, chini kanisa na floor ya mwanzo ni msikiti
Achana nao.Mbona kule Yerusalemu kuna lile Hekalu lililojengwa na Mfalme Sulemani, nasikia linatumika na Wakristo na Waislamu pia, yaani upande mmoja Wakristo na upande mwingine ni Waislamu.Manispaa ya morogoro Kuna eneo nadhani ukitoka hospital kubwa Kama unaelekea bigwa Kuna sehemu mkono wa kulia Kuna kanisa Kama sio yehova ni sabato; kanisa Hilo linapakana ukuta tu na eneo linapojengwa msikiti mkubwa Sana. Sasa naomba mamlaka husika za kiserikali zitolee ufafanuzi kwamba hakutakuwa na shida huko baadae? Wakati Hawa wakiimba mapambio huku wengine wanapiga adhana.
Mods naomba msifute huu Uzi.
Lazima tukupige ban.Aiseee masista wakali usiombe ukutane na bikra mtu mzima...
Mods msinipige ban
Ndio maana unafanana na Avatar yako hivi hivi, Mpuuzi kweli wewe.Sio masista ndio wakawatamani mashekhe na kuwabinjukia ukutani kwa kuwa huku upande wao huko kwao hawapigwi mshipa
Kwani 'zimooo'🤪Sheikh asije akatamani ma Sista
Au mchungaji kulawiti vitoto.Sheikh asije akatamani ma Sista
Usiishi kupitia makosa ya wengine, ishi kwa misingi yako mizuriAnza kwanza kumwambia huyo aliyesema shekhe anaweza kumtamani sister,,,, ambae mie nimemjibu kisha urudi kwangu ili niedit comment yangu
Watakubaliana tu kupeana muda hawa muda huu hawa muda huu alimradi maisha yaendelee,kasheshe siku upande mmoja upange speakers nje ili kuhubiri au upande mwengine ufanye kitu ili waumini wake wasogee kuabudu ndo watajua hawajui.Nipo naishi mitaa hii hii karibu, ipo shida naiona siku za usoni! Msikiti umepakana na kanisa......
Nje ya mada tafadhali hebu fanya kufafanua sentensi ya pili kutoka mwishoDar es Salaam, eneo linaitwa Darajani, Barabara ya Nyerere mkono wa kushoto kabla ya kufika petroli station kwenye kona ya Chang'ombe, kuna kanisa na msikiti wamepakana, hakuna mgogoro wowote kila mtu na hamsini zake. Kwenye kile kikanisa ndipo deal lilichongwa Reginald Mengi akaanza kuitwa Dk Reginald Mengi. Hii dunia iko poua sana, wanadamu ndio wenye shida!
Lokole's hawana cha masista labda useme watamani wake za wachungaji!Sheikh asije akatamani ma Sista
Au kanisan wakila kitimoto kunguru akutupa mifupa masjidSheikh asije akatamani ma Sista
Tatizo lenu ndo hilo,, kunyata anyate kinyonga, akinyata kicheche anavizia kuku,, mbona huyo alienza kashfa kwa mashekhe asemwi, nasimangwa mie tuNdio maana unafanana na Avatar yako hivi hivi, Mpuuzi kweli wewe.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app