Morogoro Kusini, Wilaya masikini kuliko zote Tanzania

wajomba naombeni niwafute machozi , cdm ishasogea karibu sana .
Ipo karibu kivipi kaka!? Unakujua sehemu yenyewe au unasikia tu. Haya, karibuni mtupe faraja.
 
TETESI :Habari za ndani ya system kuwa Waziri mkuu mpya anatokea jimbo la morogoro kusini simjui anaitwa Nani wala msiniulize Nani kaniambia. Subirini after two weeks


Daa bwa shemeji utabiri wako kama wa shekhe yahya vile..
 
Hivi mahenge ipo wapi katika morogoro? kuna rafiki yangu mmoja ni mwalimu huko mahenge? au nayo ipo ndani ya morogoro kusini? naombeni mnijuze
 
Ushirikina. ..uvivu pamoja na kuwa eneo lenye ardhi yenye rutuba na maji ya chemchem
 
very sad we have to pray
 
Ccm mbere kwa mbere
 
Wabunge woote wa ccm wana sifa hizi
 
Kaka yawezekana ya huko morogoro kusini ni 9 kumi nenda wilaya ya Ileje mkoani mbeya kamanda. Yaani nadhani ni mojawapo ya wilaya fukara kabisa hapa nchini.
🤣🤣🤣duuh
 
Npo matombo kamanda ndipo familia yangu ilipo japo mimi nafanya kazi eneo lingine. Kila wikiend nipo huku. Njoo hapa matombo kaka tuongee vizuri kama utapata nafasi

Npo matombo kamanda ndipo familia yangu ilipo japo mimi nafanya kazi eneo lingine. Kila wikiend nipo huku. Njoo hapa matombo kaka tuongee vizuri kama utapata nafasi
Kuwa makini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…