Abel Ndundulu
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 846
- 388
Sipati picha ya Wilaya mpya ya Malinyi huko Ulanga Magharibi.Hali ni tete kuliko hii Morogoro Kusini mnayoizungumzia.Mbaya zaidi CCM ni kama imeota mizizi maana asilimia kubwa ya Wananchi wa huko hawaoni kama CCM ndio kikwazo cha maendeleo yao.