Morogoro Kusini, Wilaya masikini kuliko zote Tanzania

Morogoro Kusini, Wilaya masikini kuliko zote Tanzania

NEWALA mkuu mbunge wa UKAWA kashinda lakini wakaamua kumtangaza
MKUCHIKA wa CCM na kwa madiwani ni ukawa madiwani 11 CCM ni 5
tunataka kuiona serikali ya magufuli kama itatenda haki kwa kuturudishia
mbunge ambaye ni chaguo letu kwani kesi iko mahakamani.

Usijal kamanda mtesi hatesi akafuluriza
 
Kweli kabisa yani morogoro hasa hapo matombo ni kwetu lakini maendeleo hakuna kabisa nae kikubwa elimu kwani watu hawana mwamko kabisa na wanasiasa sio waminifu wamechukulia udhaifu kweli inauma sana .,ila kubadili hali hio hapa matombo kwanza watu wapate elimu..naomba watu na asasi mbalimbali watusaidie .
 
Huko si ndio Prosper Mmbena waziri mtarajiwa na aliyekuwa katibu wa JK anatokea?
 
Nmefanya kazi kituo cha afya mvuha, kisha dutumi. Ingawa kwa sasa nimehama wilaya hii kikazi ingawa bado naishi huku na familia yangu. Huku hali ni mbaya sana janani
nikiwa natoka kisaki kuja moro mjini huwa natumia kulala gesti hapo mvuha ya mwarabu flani mkulima...ni mwaka 2009 yaan hamna usafiri unaoanzia kisaki to moro mjini lazma mlale mvuha na au matombo.

vipi unamfahamu kashashi wa kisaki stendi???
 
ukweni kwangu huko. (mtambachini) na leo nipo huku nimetembea. . hali ni mbaya sana. . na kuna mazao muhm km karafuu,ufuta,plplmtama,tangawiz,mpunga . .na madini kibao lakin hali ni mbaya. sana khs ccm hk ndo ofisini kwao. kwan weng wanadai tukiwapa nchi wapinzani kutatokea vita. . . '
 
Mimi nimesoma Mzumbe Secondary, nilishangaa sana kuona wakazi wa maeneo ya Jirani na shule walkija shuleni kwetu kukusanya makombo na kuyala. Mwanzoni nilihisi wanapeleka kwa Kuku au Nguruwe lakini sikuwa sahihi. Unamkuta mama baba na watoto wamekaa foleni kukusanya Makombo kwaajili ya kula!! Mzumbe ipo wilaya ya Mvomero.
 
Wilaya hii makao makuu yake yapo moro mjini kwa kuwa watendaji wengi wa wilaya hii wanakwepa maisha ya dhiki yasiyo stahili kuishi binadamu ndani ya wilaya.

basi haina budi kwa Raisi kuwa 'shtukiza'.

Waambie tumewaweka kiporo. Wasipoangalia vizuri wanaweza kuwa wilaya tajiri baada ya masaa 24.
 
Wilaya hii makao makuu yake yapo moro mjini kwa kuwa watendaji wengi wa wilaya hii wanakwepa maisha ya dhiki yasiyo stahili kuishi binadamu ndani ya wilaya.

ELIMU:
-Wilaya ya Morogoro hakuna hata shule moja ya Advance level (kidato cha tano na sita).
-Shule za msingi zilizopo ni duni chakavu tena zilizochoka.
-Hakuna walimu wa kutosha. Kuna shule kama shile ya msingi kitengu, lumba chini na lumba juu kuna mwalimu mmoja mmoja kila shule.
Mbunge ni wa ccm.

AFYA:

Wilaya hii hakuna hospital yenye hadhi ya kuwa hospital ya wilaya. Kuna kituo cha afya cha tawa eti ndo wanataka kuifanya hospital ya wilaya. Kiukweli haina hadhi, kama ingekuwa Dar hii ingekuwa zahanati.
Mbunge ni wa ccm.

BARABARA:
Unaweza ukafikiri kama nafanya uchochezi au masihara ila ukweli ni kwamba HAKUNA HATA MITA MOJA ya kipande cha lami. Barabara huku kwetu ni za vumbi zilizojaa makorongo zinazohatarisha safari.
Mbunge ni wa ccm.

UONEVU:
wananchi wanaonewa kwa kulipishwa michango na faini zisizo na tija. Kuna mpango wa kila kata kuchangia shilingi elfu moja kulipia vyanzo vya maji mpango huu unaratibiwa na shirika na CARE INTERNATIONAL. Wakati mito Mungu mwenyewe ndiyo kaiumba na ipo tu siku zote toka utotoni kwa bibi na babu zetu na tulikuwa tunatumia bure.
Mbunge ni wa CCM.

Lakini pamoja na yote hayo wananchi wameridhika na ccm huwaambii kitu juu ya CCM yao.
Huku mgombea akishapitishwa na CCM basi yeye ndiye mshindi kwa asilimia 90. Haijawahi pata kiongozi wa upinzani ingawa mwaka 2005 - 2010 tulikuwa na diwani mmoja tu wa chadema kata ya kibungo juu.

Wananchi tumeamua kujisemea wenyewebkwa kuwa masikini wachache na wajinga wachache wanatuumiza sisi kwa kuendelea kuichagua ccm.
niliposoma hapo kwenye uonevu nikajua u-mpuuzi. kama hutaki hata kutunza vyanzo vya maji basi wewe ni -----. bora ungeongelea namna ingine ya kutunza badala ya kuwalipisha hao watu lakini sio kupinga kutunza. u-mpuuzi wewe.
 
ukweni kwangu huko. (mtambachini) na leo nipo huku nimetembea. . hali ni mbaya sana. . na kuna mazao muhm km karafuu,ufuta,plplmtama,tangawiz,mpunga . .na madini kibao lakin hali ni mbaya. sana khs ccm hk ndo ofisini kwao. kwan weng wanadai tukiwapa nchi wapinzani kutatokea vita. . . '

Ukiacha visiwa vya zanzibar wilaya hii ndiyo pekee inazalisha karafuu kwa wingi sana lakini ndiyo hivyo hakuna masoko. Kuna bonde la mtukila hapo karibu na mtamba chini njia ya kwenda konde.
 
niliposoma hapo kwenye uonevu nikajua u-mpuuzi. kama hutaki hata kutunza vyanzo vya maji basi wewe ni -----. bora ungeongelea namna ingine ya kutunza badala ya kuwalipisha hao watu lakini sio kupinga kutunza. u-mpuuzi wewe.
Shida ya sisi watanzania ni kujifanya kujua kila kitu. Hali iliyopo huku ni kama kila kaya na si kata kulipia shilingi 1000 kwa huduma ya mto au kijito kilichopo kwa kampuni hiyo tajwa hapo wakati utunzaji wenyewe unafanywa na wananchi wenyewe kwa hiyo hilo ni dili la kupiga hela za wanyonge. Usikurupuke kutukana watu pasi kujua mantiki ya jambo ubabe kamletee mkeo na watoto wako hii jf home of great thinkers bwe.ge we.
 
Shida ya sisi watanzania ni kujifanya kujua kila kitu. Hali iliyopo huku ni kama kila kaya na si kata kulipia shilingi 1000 kwa huduma ya mto au kijito kilichopo kwa kampuni hiyo tajwa hapo wakati utunzaji wenyewe unafanywa na wananchi wenyewe kwa hiyo hilo ni dili la kupiga hela za wanyonge. Usikurupuke kutukana watu pasi kujua mantiki ya jambo ubabe kamletee mkeo na watoto wako hii jf home of great thinkers bwe.ge we.

niliposoma hapo kwenye uonevu nikajua u-mpuuzi. kama hutaki hata kutunza vyanzo vya maji basi wewe ni -----. bora ungeongelea namna ingine ya kutunza badala ya kuwalipisha hao watu lakini sio kupinga kutunza. u-mpuuzi wewe.

Mimi ndiyo maana nilimdharau mkuu mfizigo. Jitu lipo kwao huko ushirombo linataka lizungumzie maisha ya watu huku Mji kasoro.
 
Wilaya hii makao makuu yake yapo moro mjini kwa kuwa watendaji wengi wa wilaya hii wanakwepa maisha ya dhiki yasiyo stahili kuishi binadamu ndani ya wilaya.

ELIMU:
-Wilaya ya Morogoro hakuna hata shule moja ya Advance level (kidato cha tano na sita).
-Shule za msingi zilizopo ni duni chakavu tena zilizochoka.
-Hakuna walimu wa kutosha. Kuna shule kama shile ya msingi kitengu, lumba chini na lumba juu kuna mwalimu mmoja mmoja kila shule.
Mbunge ni wa ccm.

AFYA:

Wilaya hii hakuna hospital yenye hadhi ya kuwa hospital ya wilaya. Kuna kituo cha afya cha tawa eti ndo wanataka kuifanya hospital ya wilaya. Kiukweli haina hadhi, kama ingekuwa Dar hii ingekuwa zahanati.
Mbunge ni wa ccm.

BARABARA:
Unaweza ukafikiri kama nafanya uchochezi au masihara ila ukweli ni kwamba HAKUNA HATA MITA MOJA ya kipande cha lami. Barabara huku kwetu ni za vumbi zilizojaa makorongo zinazohatarisha safari.
Mbunge ni wa ccm.

UONEVU:
wananchi wanaonewa kwa kulipishwa michango na faini zisizo na tija. Kuna mpango wa kila kata kuchangia shilingi elfu moja kulipia vyanzo vya maji mpango huu unaratibiwa na shirika na CARE INTERNATIONAL. Wakati mito Mungu mwenyewe ndiyo kaiumba na ipo tu siku zote toka utotoni kwa bibi na babu zetu na tulikuwa tunatumia bure.
Mbunge ni wa CCM.

Lakini pamoja na yote hayo wananchi wameridhika na ccm huwaambii kitu juu ya CCM yao.
Huku mgombea akishapitishwa na CCM basi yeye ndiye mshindi kwa asilimia 90. Haijawahi pata kiongozi wa upinzani ingawa mwaka 2005 - 2010 tulikuwa na diwani mmoja tu wa chadema kata ya kibungo juu.

Wananchi tumeamua kujisemea wenyewebkwa kuwa masikini wachache na wajinga wachache wanatuumiza sisi kwa kuendelea kuichagua ccm.

Morogoro hakuna wilaya yenye jina kama hilo, acha kupotosha Wananchi! Labda ungesema jimbo napo bado hakuna jina kama hilo. Wilaya inaitwa Morogoro Vijijini yenye Majimbo ya Morogoro Kusini Mashariki na Morogoro Kusini Magharibi.
 
Morogoro hakuna wilaya kama hiyo acha kupotosha Wananchi!

Ukiangalia vizuri ndani ya post nimefanya editing lakini heading inagoma. Nimemaanisha wilaya ya Morogoro vijijini. Morogoro kusini ni jimbo la uchaguzi mkuu.
 
Duh! aisee hii sasa kali zaidu huko mimi kwetu kabisa ni pale lundi karibu na njia panda ya kwenda ngong'olo
 
Ukitaka kujua watu ni wajinga kiasi gani angalia asilimia ya kura za sisiem kwa eneo hilo.
 
Daaah sina cha kuchangia nalijua hilo eneo vizuri bibi yangu ni mzawa wa Kiswila so stend yetu ni Msalabani enzi zangu nilikuwa napenda kuja huko sababu ya utajiri wa eneo hilo tulikuwa tunaoga mto MFIZIGO,matunda ya kumwaga,ardhi yenye rutuba hapo ndio naiona ile HOJA YA UZAWA.....lazima wazawa wapewe nafasi just imagine WILAYA HAINA OFISI ZA WILAYA sababu wakuja wanaogopa mazingira ya wenyeji.
 
Back
Top Bottom