MFIZIGO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 374
- 233
Ujinga unatutafuna sisi waluguru na utaendelea kututafuna.....kuna mtu alisema mluguru ukimpa kofia ya fisiem au kanga halafu ukamwambia anywe sumu ili uone kama inaua anakunywa........(mtu akikunyima elimu kakunyima vitu vingi sana .....hawa watu wawapendi ndugu zetu waelimike kwa sababu wakielimika hawawachagui)........pole zenu njooni huku kasikazini kuna unafuu...