Morogoro Kusini, Wilaya masikini kuliko zote Tanzania

Morogoro Kusini, Wilaya masikini kuliko zote Tanzania

TAWA

TETESI :Habari za ndani ya system kuwa Waziri mkuu mpya anatokea jimbo la morogoro kusini simjui anaitwa Nani wala msiniulize Nani kaniambia. Subirini after two weeks
 
Last edited by a moderator:
TAWA

Yani ukikuta lami ni pale mlima ng'wale na na ile nyingine...karibia msalabani halafu ukiwa unaingia matombo...
 
Last edited by a moderator:
Kuna ruby na gold nyingi sana kule. Ajabu ni kuwa hakuna maendeleo. Halafu ardhi yake nzuri sana. Miaka ya 70 kulikuwa na wahindi wengi sana hata yule mama Shamim Prakash Khan kazaliwa kule.
 
Huko watu wanaishi kwa shida sana lkn kwa ccm huwaambi kitu,ni wajinga kupitiliza
 
TETESI :Habari za ndani ya system kuwa Waziri mkuu mpya anatokea jimbo la morogoro kusini simjui anaitwa Nani wala msiniulize Nani kaniambia. Subirini after two weeks

Inawezekana kwa kuwa huyu mbunge anaitwa Mbena yule aliyewahi kuwa katibu wa rais.
Jamani huku kuna umasikini.
 
Msalieni mtume jamani, hivi mumeshawahi kufika vijiji vya wilaya ya Liwale ?????
 
Yani ukikuta lami ni
pale mlima ng'wale na na ile nyingine...karibia msalabani halafu ukiwa unaingia matombo...
Hapo ndiyo msalabani na hiyo ndiyo barabara kuu ya Morogoro vijijini. Bigwa - Kisaki katika ubora wake. Hiyo inayopinda kulia inaelekea kibungo juu na Tawa.
 

Attachments

  • 1446309308843.jpg
    1446309308843.jpg
    58.5 KB · Views: 468
Kwa mantiki haya Wapinzani hawakufanya kazi nzuri ya kuwaelimisha wananchi wa kule juu ya ubaya wa CCM. Katika maeneo amabayo wapinzani wanakubalika ni yale yenye maendeleo yaliyoletwa na CCM.

Elimu imepelekwa kwenye maeneo hayo na CCM, miundo mbinu mingine kama vile barabara reli, maji na umeme katika maeneo wanayopendwa wapinzani imepelekwa na serikali ya CCM ila ndiyo kawaida usimwamshe aliyelala utalala wewe.

Rasilmali zilizoendeleza maeneo mnayosema ni ya wapinzani ni za watanzania wote zingeweza kupelekwa kuendeleza Morogoro kusini lakini zikapelekwa maeneo mengine kwa kuwa watendaji wa serikali walikuwa wa maeneo yale.

Maendeleo hayo hayakuletwa na wabunge wao.

Wapinzani hawajawahi kushika serikali hivyo siyo kweli kwamba penye maendeleo maendeleo pana wapinzani wapinzani. Maendeleo yana sababu nyingi ikiwemo miundo mbinu ambayo hujengwa na serikali, utamaduni wa wananchi kupenda kazi na mambo mengine mengi.
 
Kwa mantiki haya Wapinzani hawakufanya kazi nzuri ya kuwaelimisha wananchi wa kule juu ya ubaya wa CCM. Katika maeneo amabayo wapinzani wanakubalika ni yale yenye maendeleo yaliyoletwa na CCM.Elimu imepelekwa kwenye maeneo hayo na CCM, miundo mbinu mingine kama vile barabara reli, maji na umeme katika maeneo wanayopendwa wapinzani imepelekwa na serikali ya CCM ila ndiyo kawaida usimwamshe aliyelala utalala wewe. Rasilmali zilizoendeleza maeneo mnayosema ni ya wapinzani ni za watanzania wote zingeweza kupelekwa kuendeleza Morogoro kusini lakini zikapelekwa maeneo mengine kwa kuwa watendaji wa serikali walikuwa wa maeneo yale. Maendeleo hayo hayakuletwa na wabunge wao.
Wapinzani hawajawahi kushika serikali hivyo siyo kweli kwamba penye maendeleo maendeleo pana wapinzani wapinzani. Maendeleo yana sababu nyingi ikiwemo miundo mbinu ambayo hujengwa na serikali, utamaduni wa wananchi kupenda kazi na mambo mengine mengi.

Hujaeleweka brother umeandika sana lakini pointless
 
Yan uko ndo home original kabisa ila sijawah fika nasikiaga hayo maneno kua kuko choka sana. Hapo kisaki ndo kitovu chetu ninampango wakuja uko mwez wa11 kujiandikisha uanakijiji na Mungu akipenda kuanzia mwakan nataka kufanya Feasibility study na strategic development plan za vijiji vya uko inauma sana mkuu
 
Inawezekana kwa kuwa huyu mbunge anaitwa Mbena yule aliyewahi kuwa katibu wa rais.
Jamani huku kuna umasikini.

Ni tetesi nilishaandika uzi kuhusu jamaa kua waziri mkuu Prosper Mbena aliwahi kua katibu wa rais Jk na afisa mwanadamizi wa wizara ya fedha
 
TAWA

Wilaya ya Morogoro Kusini? You can't e serious. Au unamananisha jimbo la Morogoro kusin? Unapotoa hoja uwe makini.
 
Last edited by a moderator:
Kama hujaelewa unajibuje kuwa ni pointless? Ungeomba ufafanuzi kwa sehemu usiyoelewa ningekuelewa,lakini sijaelewekahalafu pointless ni mkusanyinko wa mabo mengi yaliyofungamana pamoja. Inawezekana umejiandaa kutoelewa sasa nitakueleweshaje mtu usiyetaka kuelewa tena kwa makusudi?
Hujaeleweka brother umeandika sana lakini pointless
 
Sio mlima ng'wale ni mlima Ng'alo

Upo sawa sana mkuu na hapo anaposema karibu na msalabani panaitwa Kibungo brashel kuna msitu na palikuwa maarufu kwa kuteka magari zamani hizo hasa binafsi
 
Back
Top Bottom