Morogoro Kusini, Wilaya masikini kuliko zote Tanzania

Morogoro Kusini, Wilaya masikini kuliko zote Tanzania

Wameipenda ccm wanajua umasikini ni mipango ya Mungu kumbe ni udhaifu wa serikali ya ccm bado wataisoma namba.
 
huko ccm itakuwa imetaga kama dodoma...

Hao waliobeba machela ni Morogoro vijijini hiyo hapo panaitwa Lanzi Mgonjwa amezidiwa huko hakunaga usafiri zaidi ya gari la padre au ave maria.
 

Attachments

  • 1447307600719.jpg
    1447307600719.jpg
    71.5 KB · Views: 390
Wilaya kama hizi ni nyingi sana. Na, binafsi wala siwashangai Wananchi hao kwa kuipigia kura CCM; maana ndiyo ufahamu wao umeishia hapo.

Lakini, si wakati wote ufumbuzi wa matatizo yetu ni kuchagua Upinzani; Vyama vya Upinzani havipati Wanachama toka Germany, Viongozi wao na Wanachama wanatoka miongoni mwetu sisi hawa hawa. Halmashauri Manispaa ya Musoma ilikuwa ya CHADEMA, nini cha maana sana kilichofanyika kule? UKAWA watasingizia waliibiwa kura.
 
Hao waliobeba machela ni Morogoro vijijini hiyo hapo panaitwa Lanzi Mgonjwa amezidiwa huko hakunaga usafiri zaidi ya gari la padre au ave maria.

Baada ya kuona hii picha nimejisikia aibu sana !
 
TETESI :Habari za ndani ya system kuwa Waziri mkuu mpya anatokea jimbo la morogoro kusini simjui anaitwa Nani wala msiniulize Nani kaniambia. Subirini after two weeks

Mbunge wa huko ni Mbena aliyekuwa katibu wa Raid Kikwete. Unamaanisha huyo?
 
Hao waliobeba machela ni Morogoro vijijini hiyo hapo panaitwa Lanzi Mgonjwa amezidiwa huko hakunaga usafiri zaidi ya gari la padre au ave maria.



Picha ya kwanza kushoto imechukua uzito katika hii post
attachment.php


8BQENKATliKY4AAAAASUVORK5CYII=
 

Attachments

  • 01.JPG
    01.JPG
    20.9 KB · Views: 440
Hiyo wilaya ni hatari sana barabata zake kama unaingia mapangoni, nimeenda mpaki kisaki, huko serembala ni hatari Sana mkuu Tawa.

Nmefanya kazi kituo cha afya mvuha, kisha dutumi. Ingawa kwa sasa nimehama wilaya hii kikazi ingawa bado naishi huku na familia yangu. Huku hali ni mbaya sana janani
 
Nmefanya kazi kituo cha afya mvuha, kisha dutumi. Ingawa kwa sasa nimehama wilaya hii kikazi ingawa bado naishi huku na familia yangu. Huku hali ni mbaya sana janani

Chanzo kikuu cha maji ni MTU ruvu hatari sana kwa kweli Mh. Mbena ana kazi kubwa ya kufanya.
 
TAWA

Mkuu hakuna wilaya ya Morogoro kusini
 
Last edited by a moderator:
Chanzo kikuu cha maji ni MTU ruvu hatari sana kwa kweli Mh. Mbena ana kazi kubwa ya kufanya.

Baadhi ya vijiji vya ndani kabisa kama vile mrono, tawa, kibungo, lumba juu na lumba chini, msing'ini, konde, nyingwa, Lanzi, kitengu na vijiji vingine vina mito zaidi ya mitano kila kijiji ambayo humwaga maji katika mto mkubwa wa ruvu juu.
 
Baadhi ya vijiji vya ndani kabisa kama vile mrono, tawa, kibungo, lumba juu na lumba chini, msing'ini, konde, nyingwa, Lanzi, kitengu na vijiji vingine vina mito zaidi ya mitano kila kijiji ambayo humwaga maji katika mto mkubwa wa ruvu juu.
Kweli wewe kamanda ni wa huku hadi kitengu unakujua!!!?
 
.....kuna mtu alisema mluguru ukimpa kofia ya fisiem au kanga halafu ukamwambia anywe sumu ili uone kama inaua anakunywa........(mtu akikunyima elimu kakunyima vitu vingi sana .....hawa watu wawapendi ndugu zetu waelimike kwa sababu wakielimika hawawachagui)........pole zenu njooni huku kasikazini kuna unafuu...
 
nililojifunza morogoro, ni kuwa uwajibikaji haupo, ile hali ya kuwa na wivu wa maendeleo haipo, ninayadhuhudia hayo kwenye sekta fulani ninayowajibika kama mtumishi wa umma, ushindani wa kuleta mafanikio katika jasmii haupo, ni jasmii pekee inayosubiri kusema asante kwa wanachopewa na wahisani,

Cha ajabu huenda una degree ila upeo wako uko chini sana hebu niambie barabara ina uhusiano gani na kujituma kwa wananchi.Wapeni wananchi yale mliyowaahidi MUNGU anawaona mlivyo wanafiki
 
Back
Top Bottom