Pre GE2025 Morogoro: Mbunge Abood, amegusa maisha ya Wananchi kwa Miradi ya Maendeleo

Pre GE2025 Morogoro: Mbunge Abood, amegusa maisha ya Wananchi kwa Miradi ya Maendeleo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mbunge wa Morogoro Mjini, Dkt. Abdulaziz Abood, amejitolea kwa dhati katika kuboresha maisha ya wananchi wa jimbo lake kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo.

Miongoni mwa mafanikio yake ni pamoja na👇

1. Dkt. Abood alikabidhi gari la kubebea wagonjwa (ambulance) hatua iliyosaidia kuboresha huduma za afya kwa wananchi.

2. Kupitia juhudi zake Dkt. Abood, jimbo la Morogoro Mjini limepata kilomita 21.5 za barabara kwa kiwango cha lami kupitia Mradi wa TACTIC, unaolenga kuboresha miundombinu ya miji.

3. Dkt. Abood ametoa misaada mbalimbali kwa wananchi, akitumia zaidi ya shilingi milioni 300 kwa mwaka kusaidia miradi ya maendeleo katika Manispaa ya Morogoro.

4. Dkt. Abood amefanya ziara za kikazi katika kata mbalimbali, kusikiliza na kutatua kero za wananchi na kuwaeleza kuhusu miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali.

NB: Kupitia juhudi hizi, Dkt. Abood ameonyesha dhamira yake ya dhati katika kuboresha maisha ya wananchi wa Morogoro Mjini na kuleta maendeleo endelevu katika sekta mbalimbali.
 
Mbunge wa Morogoro Mjini, Dkt. Abdulaziz Abood, amejitolea kwa dhati katika kuboresha maisha ya wananchi wa jimbo lake kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo.

Miongoni mwa mafanikio yake ni pamoja na[emoji116]

1. Dkt. Abood alikabidhi gari la kubebea wagonjwa (ambulance) hatua iliyosaidia kuboresha huduma za afya kwa wananchi.

2. Kupitia juhudi zake Dkt. Abood, jimbo la Morogoro Mjini limepata kilomita 21.5 za barabara kwa kiwango cha lami kupitia Mradi wa TACTIC, unaolenga kuboresha miundombinu ya miji.

3. Dkt. Abood ametoa misaada mbalimbali kwa wananchi, akitumia zaidi ya shilingi milioni 300 kwa mwaka kusaidia miradi ya maendeleo katika Manispaa ya Morogoro.

4. Dkt. Abood amefanya ziara za kikazi katika kata mbalimbali, kusikiliza na kutatua kero za wananchi na kuwaeleza kuhusu miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali.

NB: Kupitia juhudi hizi, Dkt. Abood ameonyesha dhamira yake ya dhati katika kuboresha maisha ya wananchi wa Morogoro Mjini na kuleta maendeleo endelevu katika sekta mbalimbali.
Kwa hayo tu, mmeridhika kweli? Kutawala wa Tanzania ni rahisi sanaa ni majinga sanaa, mtu anamoliki mabasi zaidi ya 300 kuwapa basi moja kuwasaidia kuenda kwenye misiba yao wanaona kawasaidia sanaa.
 
Mbunge wa Morogoro Mjini, Dkt. Abdulaziz Abood, amejitolea kwa dhati katika kuboresha maisha ya wananchi wa jimbo lake kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo.

Miongoni mwa mafanikio yake ni pamoja na👇

1. Dkt. Abood alikabidhi gari la kubebea wagonjwa (ambulance) hatua iliyosaidia kuboresha huduma za afya kwa wananchi.

2. Kupitia juhudi zake Dkt. Abood, jimbo la Morogoro Mjini limepata kilomita 21.5 za barabara kwa kiwango cha lami kupitia Mradi wa TACTIC, unaolenga kuboresha miundombinu ya miji.

3. Dkt. Abood ametoa misaada mbalimbali kwa wananchi, akitumia zaidi ya shilingi milioni 300 kwa mwaka kusaidia miradi ya maendeleo katika Manispaa ya Morogoro.

4. Dkt. Abood amefanya ziara za kikazi katika kata mbalimbali, kusikiliza na kutatua kero za wananchi na kuwaeleza kuhusu miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali.

NB: Kupitia juhudi hizi, Dkt. Abood ameonyesha dhamira yake ya dhati katika kuboresha maisha ya wananchi wa Morogoro Mjini na kuleta maendeleo endelevu katika sekta mbalimbali.
Amewezesha barabara toka njiapanda ya SUA mjini kuelekea Mzumbe kutunza mazingira kwa kuwa nechuro.
 
Mmmh kama wananchi mmefurahia hayo sawa hongereni!
 
Mbunge wa Morogoro Mjini, Dkt. Abdulaziz Abood, amejitolea kwa dhati katika kuboresha maisha ya wananchi wa jimbo lake kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo.

Miongoni mwa mafanikio yake ni pamoja na👇

1. Dkt. Abood alikabidhi gari la kubebea wagonjwa (ambulance) hatua iliyosaidia kuboresha huduma za afya kwa wananchi.

2. Kupitia juhudi zake Dkt. Abood, jimbo la Morogoro Mjini limepata kilomita 21.5 za barabara kwa kiwango cha lami kupitia Mradi wa TACTIC, unaolenga kuboresha miundombinu ya miji.

3. Dkt. Abood ametoa misaada mbalimbali kwa wananchi, akitumia zaidi ya shilingi milioni 300 kwa mwaka kusaidia miradi ya maendeleo katika Manispaa ya Morogoro.

4. Dkt. Abood amefanya ziara za kikazi katika kata mbalimbali, kusikiliza na kutatua kero za wananchi na kuwaeleza kuhusu miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali.

NB: Kupitia juhudi hizi, Dkt. Abood ameonyesha dhamira yake ya dhati katika kuboresha maisha ya wananchi wa Morogoro Mjini na kuleta maendeleo endelevu katika sekta mbalimbali.
Hahaaa hakuna kitu hapo, ujinga mtupu,

Gari la kubeba wagonjwa sio Maendeleo ni hitaji la msingi ni kama ilivyo maji, maji sio maendeleo.

Umasikini ni mtaji wake muu hapo Morogoro, Umasikini ukiondoka watu wanao uwezo wa kukodi hata Ambulace helcopta.
 
Kwa hayo tu, mmeridhika kweli? Kutawala wa Tanzania ni rahisi sanaa ni majinga sanaa, mtu anamoliki mabasi zaidi ya 300 kuwapa basi moja kuwasaidia kuenda kwenye misiba yao wanaona kawasaidia sanaa.
Watanzania hata mtoto wako mchanga alie zaliwa leo anaweza watawala. yaani mtoto wako mchanga anaweza kuwa Raisi na maisha yakaendelea, Nchi imejaa wapuuzi sana hii
 
Mbunge wa Morogoro Mjini, Dkt. Abdulaziz Abood, amejitolea kwa dhati katika kuboresha maisha ya wananchi wa jimbo lake kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo.

Miongoni mwa mafanikio yake ni pamoja na👇

1. Dkt. Abood alikabidhi gari la kubebea wagonjwa (ambulance) hatua iliyosaidia kuboresha huduma za afya kwa wananchi.

2. Kupitia juhudi zake Dkt. Abood, jimbo la Morogoro Mjini limepata kilomita 21.5 za barabara kwa kiwango cha lami kupitia Mradi wa TACTIC, unaolenga kuboresha miundombinu ya miji.

3. Dkt. Abood ametoa misaada mbalimbali kwa wananchi, akitumia zaidi ya shilingi milioni 300 kwa mwaka kusaidia miradi ya maendeleo katika Manispaa ya Morogoro.

4. Dkt. Abood amefanya ziara za kikazi katika kata mbalimbali, kusikiliza na kutatua kero za wananchi na kuwaeleza kuhusu miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali.

NB: Kupitia juhudi hizi, Dkt. Abood ameonyesha dhamira yake ya dhati katika kuboresha maisha ya wananchi wa Morogoro Mjini na kuleta maendeleo endelevu katika sekta mbalimbali.
2025
1733987770006.jpeg
 
Kwa hayo tu, mmeridhika kweli? Kutawala wa Tanzania ni rahisi sanaa ni majinga sanaa, mtu anamoliki mabasi zaidi ya 300 kuwapa basi moja kuwasaidia kuenda kwenye misiba yao wanaona kawasaidia sanaa.
Moja sio kazi ya mbunge kuleta hata gari la msiba let alone hata moja (ila ni mtu yoyote akiona ameguswa anaweza kufanya hivyo), na ukifanya ni Hisani sio Wajibu......

Ila ndio hivyo watu tumeshindwa kujua tofauti ya hisani na wajibu na sio Bongo tu dunia nzima politicians wote wamekuwa watafuta Kura waende Kula sababu unaweza kufanya mengi hata usipokuwa Mbunge ila mwisho wa siku ukiwa Mbunge unaweza kufanya Lobbying na kuwatetea / kuwawakilisha mabosi wako (wananchi) ili kodi zao zitumike ipasavyo as well as kuhakikisha maharamia (kwa sasa wakiwemo hao wabunge) hawamyonyi Bosi wao (mwananchi)

Ila ndio hivyo Mwananchi hapati value for his / her money na sio Bongo tu Afrika kwa Kiwango kikubwa sana na dunia nzima kwa viwango tofauti....
 
Moja sio kazi ya mbunge kuleta hata gari la msiba let alone hata moja (ila ni mtu yoyote akiona ameguswa anaweza kufanya hivyo), na ukifanya ni Hisani sio Wajibu......

Ila ndio hivyo watu tumeshindwa kujua tofauti ya hisani na wajibu na sio Bongo tu dunia nzima politicians wote wamekuwa watafuta Kura waende Kula sababu unaweza kufanya mengi hata usipokuwa Mbunge ila mwisho wa siku ukiwa Mbunge unaweza kufanya Lobbying na kuwatetea / kuwawakilisha mabosi wako (wananchi) ili kodi zao zitumike ipasavyo as well as kuhakikisha maharamia (kwa sasa wakiwemo hao wabunge) hawamyonyi Bosi wao (mwananchi)

Ila ndio hivyo Mwananchi hapati value for his / her money na sio Bongo tu Afrika kwa Kiwango kikubwa sana na dunia nzima kwa viwango tofauti....
Badala ya kuleta maendeleo ya dhati anatibu matatizo yanao leta na ukosefu wa maendeleo.
 
Back
Top Bottom