Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Kuelekea 2025,chawa watajitokeza wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hekh abood amewafanya kama ndondocha aisee!Ah tuheshimu bwana yaani atupige mtungo sie waluguru mwanawane
Tatizo tunapenda kujambia siti za aboodS
Hekh abood amewafanya kama ndondocha aisee!
Bado wanafikira za kijinga wanategemea mwarabu awaletee maendeleoBadala ya kuleta maendeleo ya dhati anatibu matatizo yanao leta na ukosefu wa maendeleo.
Wakati anawanyoonya sanaa wote Redio ni abood Fm usafiri kuenda dar au Dodoma basi zaku tu, msaada social responsibility yake ni ambulance tu, mjinga ni mjinga.Bado wanafikira za kijinga wanategemea mwarabu awaletee maendeleo
Ni kama sisi tunategemea mzanzibar atuletee maendeleoWakati anawanyoonya sanaa wote Redio ni abood Fm usafiri kuenda dar au Dodoma basi zaku tu, msaada social responsibility yake ni ambulance tu, mjinga ni mjinga.
Watanganyika wanajua hilo ila hawana uwezo wa kupindua system walio wekewa, ila nawanyewe ni wajinga wanakuja kumsifia Nyerere wakahi Nyerere ndo chanzo cha katiba mbovu na muungano wa Zaxibar na Tanganyika.Ni kama sisi tunategemea mzanzibar atuletee maendeleo
Nyerere hakuwa malaikaWatanganyika wanajua hilo ila hawana uwezo wa kupindua system walio wekewa, ila nawanyewe ni wajinga wanakuja kumsifia Nyerere wakahi Nyerere ndo chanzo cha katiba mbovu na muungano wa Zaxibar na Tanganyika.
Makosa yake ni makubwa sanaa hata wajikuu wetu wanalipia gharama ya makosa yake......ila watu hawataki kutambua kwamba Nyerere ndo chanzo cha umasikini unyoonyaji wa Tanganika wanao faidi Tanzania ni wazazibar tu.Nyerere hakuwa malaika
Lakini na sisi tupambane kuubadilisha huu mfumo ovuMakosa yake ni makubwa sanaa hata wajikuu wetu wanalipia gharama ya makosa yake......ila watu hawataki kutambua kwamba Nyerere ndo chanzo cha umasikini unyoonyaji wa Tanganika wanao faidi Tanzania ni wazazibar tu.
Mkuu sio rahisi kubafilisha mfumo walio ushika wana nyanzo zote za kutumiliki, pesa nguvu na mamlaka, sasa wewe mkulima utawezaje kupindua hiyo system.Lakini na sisi tupambane kuubadilisha huu mfumo ovu
Hahaha ila yuko proud na morogoro kwakweliTatizo tunapenda kujambia siti za abood
Unahitaji msaada ili uweze kuielewa JG of GT's, vinginevyo utachanganyikiwa.Kwa mapato yake ya Biashara zake? au ni hizi hizi Kodi za hao wajinga wajinga? eti amewezesha. Taifa limejaaa wajinga sana hili