Chanazi JF-Expert Member Joined Apr 1, 2010 Posts 212 Reaction score 64 Jan 9, 2025 #41 Mkishalipwa mna ongea tu upuuzi, sikazi upo Peramiho hata Moro yenyewe huijui!!
Mashamba Makubwa Nalima JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 4,978 Reaction score 2,411 Jan 10, 2025 #42 Covax said: Kwa hayo tu, mmeridhika kweli? Kutawala wa Tanzania ni rahisi sanaa ni majinga sanaa, mtu anamoliki mabasi zaidi ya 300 kuwapa basi moja kuwasaidia kuenda kwenye misiba yao wanaona kawasaidia sanaa. Click to expand...
Covax said: Kwa hayo tu, mmeridhika kweli? Kutawala wa Tanzania ni rahisi sanaa ni majinga sanaa, mtu anamoliki mabasi zaidi ya 300 kuwapa basi moja kuwasaidia kuenda kwenye misiba yao wanaona kawasaidia sanaa. Click to expand...
Mashamba Makubwa Nalima JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 4,978 Reaction score 2,411 Jan 10, 2025 #43 don-mike said: Abood ajiandae 2025 nakula nae sahani moja, akishinda basi atashinda amechoka sana. Click to expand... Ndani ya chama chake au njee?
don-mike said: Abood ajiandae 2025 nakula nae sahani moja, akishinda basi atashinda amechoka sana. Click to expand... Ndani ya chama chake au njee?
D don-mike JF-Expert Member Joined Apr 3, 2011 Posts 600 Reaction score 1,178 Jan 10, 2025 #44 Mashamba Makubwa Nalima said: Ndani ya chama chake au njee? Click to expand... Huku huku ndani, ni mwendo wa counter attack tu.
Mashamba Makubwa Nalima said: Ndani ya chama chake au njee? Click to expand... Huku huku ndani, ni mwendo wa counter attack tu.
Mashamba Makubwa Nalima JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 4,978 Reaction score 2,411 Jan 11, 2025 #45 .