Uchaguzi 2020 Morogoro: Mgombea ubunge wa CHADEMA Bi Devotha Minja awatoroka Polisi waliotaka kumkamata, gari lake lakamatwa

Uchaguzi 2020 Morogoro: Mgombea ubunge wa CHADEMA Bi Devotha Minja awatoroka Polisi waliotaka kumkamata, gari lake lakamatwa

Hivi inakuaje chama kinajinadi kinefanya mazuri halafu kinaogopa tena..au huwa wanatudanganyaga?
CCM hakuna kizuri wamefanya hakuna maendeleo ndiyo maana wanaogopa ushindani toka upinzani, miradi yote mikubwa ina kasoro nyingi ikiwemo ufisadi wa kutisha mno, kampuni saidizi za kusuply vifaa zote ni za mtukufu na rafiki zake wanaccm pesa zote zinawarudia wao wanazidi kuneemeka huku wakijidai wanaleta maendeleo yasiyo na Tija kwa Taifa, CCM wanatumia mabavu kupiga marufuku mikutano ya siasa kwa miaka mitano wakiwa na nia ya kuwazuia wapinzani kuanika ukweli juu ya ufisadi uliopo kwenye miradi yote mikubwa inayoendelea sasa.
 
Haya mambo yanazidi kulitia doa taifa letu hususani wenye mamlaka.
Kwa nini utumie nguvu kubwa kupokonya watu haki zao za kikatiba, mara kukamatana.
Ushaleta maendeleo ya watu na vitu, subiri sanduku la kura litaamua na sio kuleta figisu kama hizo.
 
Haya ndiyo maajabu na Duniani kote wanashangaa hili inaelekea watanzania wamegundua miradi yote mikubwa ina ufisadi wa kutisha na wanufaika ni viongozi wa CCM ndiyo maana hawaitaki CCM chama cha kishetani
Ujinga mtupu Jina lako linaakis akili.
 
Back
Top Bottom