Kisalilo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 1,880
- 2,110
Sawa mkuuPolisi kameti wahalifu wote bila kujali Nafasi zao katika jamii..
Hatutaki Tanzania ya Wahuni Wahuni Sisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuPolisi kameti wahalifu wote bila kujali Nafasi zao katika jamii..
Hatutaki Tanzania ya Wahuni Wahuni Sisi.
Huwaga unajitoa ufahamu kama zuzu kabisa.Devota Minja mjanja Fulani Kuna tetesi alienda kutaka kuuza hiyo fomu alipwe akabidhi kwa mnunuzi Kisha asingizie kaporwa alipoona Takukuru wanafuatilia akaingia mitini
Sio wanaCCM wote.We jamaa huwa nimjinga sana, hivi unajisikia ufahari gani raia wenzako wanapopokonywa haki zao kisa vyama?. Hivi na nafsi yako inafarajika kabisa kusikia wenzako wanakamatwa ili wasirudishe form?. Kiukweli huwa najiuliza Wana CCM niraia wanchi gani, inawezekana sio Tz yetu iliyojaa upendo wanaoishi hawa viumbe.
Empty head a.k.a tabulalasa very hopeless like a small donkey.Devota Minja mjanja Fulani Kuna tetesi alienda kutaka kuuza hiyo fomu alipwe akabidhi kwa mnunuzi Kisha asingizie kaporwa alipoona Takukuru wanafuatilia akaingia mitini
Mbowe sio mpinzani nilishasema siku nyingi.Polisi wanatekeleza maagizo... Tume ipo kimya...
Mbowe kwa nn asitoe tamko au kujibu mashambulizi kimyakimya...
Nadhani kamanda Siro ataliingilia kati hili ili kuzuia vurugu zisizo za lazima,akamatwe baada ya kurudisha fomu.akikamatwa sasa na kuzuiliwa kurudisha fomu hata kama ana makosa ma kesi ya kujibu ni bad timing politically Jeshi litaonekana linatumika.Au akamatwe lakini apewe ruhusa ya kurudisha fomu yake
Mwenyekiti wa timu ya kampeni ya Mgombea ubunge wa Morogoro mjini kwa tiketi ya CHADEMA na dereva wa mgombea Ubunge wa Morogoro mjini Bi Devotha Minja wamekamatwa na Polisi muda huu huku mgombea huyo akisakwa baada ya kuwatoroka polisi.
Inadaiwa gari yake pia imekamatwa na ilikuwa ni katika harakati za kumteka ili asirejeshe fomu ya ugombea leo.
Aidha sababu za waliokamatwa bado hazijawekwa wazi.
Maelezo haya ni kwa mujibu wa yeye Devotha Minja ambaye yupo mafichoni.
-----
Jeshi la Morogoro mjini, wamezingira ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Morogoro mjini, lengo likiwa nikumsubiri Devotha Minja wamkamate kabla ya kurudisha fomu, baada ya kupigwa simu na OCD akimtaka aripoti kituoni asubuhi hii.
Hivi Huyo mgombea wa Chama kikuu cha utawala yupo kwenye orodha ya makabila 120 ya kule Antananarivo ???Ina maana Abood anamuogopa Devotha Minja?
Unaona sifa mwenyewe huku unategemea ugali wa kengelePolisi kameti wahalifu wote bila kujali Nafasi zao katika jamii..
Hatutaki Tanzania ya Wahuni Wahuni Sisi.
Ndio maana hawajiamini!! Kwani ile amshaamsha ya lisu imewatia uoga, kuona kuwa, mbona kama licha ya kufanya siasa pekee yetu miaka mitano, lakini mbona kama hatujaeleweka!!Hali ya utafutaji ni ngumu tangu jamaa aingie madarakani, lipo kundi la walio onewa wengi tu awamu hii, zipo sheria kandamizi nyingi tu awamu hii. Amini nakwambia Magufuli angeruhusu kupingwa ndani ya chama chake angepigwa chini huko huko chamani kwake.
Ofisi za tume Manispaa ya Morogoro zimezingirwa na Polisi lengo ni Devota akitia mguu tu wamkamate kabla hajarudisha fomu ya uteuzi
Mvalisheni dela la ccm na lemba kubwa, aningia anamalizana na msimamizi wakati raia wakakamavu wakishangaa!Ofisi za tume Manispaa ya Morogoro zimezingirwa na Polisi lengo ni Devota akitia mguu tu wamkamate kabla hajarudisha fomu ya uteuzi
Huu ni upumbavu wa wazi hata mtoto anautambua. yaani wanakera sana. kama wamefanya maendeleo si wasawazishe uwanja mechi ianze wao 5 wapinzani 0. ila hawajiamini wanategemea kubebwabebwa na Tume ya CCM ya uchaguziTume ipo kimyaaaa! Kama hawapo vile. Tume ingekuwa huru wangekomesha matukio hayo, kwa kuruhusu hao wagombea wanao hujumiwa kurudisha form na kukamilisha utaratibu nje ya muda ulotangazwa mwanzo. Time factor hawa wahuni wa CCM ndo wanayo cheza nayo........Yahani tunaonekana tusio starabika kabisa!.
"Kama Kuna mtu anasema mwaka huu damu itamwagika, basi aanze kumwaga mkojo kwanza" by Tanzania excellence presdentKama kuna CCM ataingia peponi nitaomba niende motoni kwa hiari
We mbwa ulijulia wapi kusoma?Maelezo ya kimbeya hayajitoshelezi wamekamatwa kwa sababu gani? Chadema mna uandishi Fulani hivi wa kipungufu akili mkiripoti kitu kiasi kuwa hata mjinga akisoma anaona wazi kuwa mleta mada kichwani Hana kitu
Andika vizuri sababu za kukamatwa na polisi ni nini