Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Tanzania ya sasa viongozi wa dini tunawatafuta kwa tochi, wengi wao ni wachumia matumbo yao.Viongozi wa dini ni wanafiki wa kutupwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania ya sasa viongozi wa dini tunawatafuta kwa tochi, wengi wao ni wachumia matumbo yao.Viongozi wa dini ni wanafiki wa kutupwa.
Mapolisi hayatumii akili, vichwani yamebebelea makamasi yenyewe yanafikri yamebeba ubongo!Mwenyekiti wa timu ya kampeni ya Mgombea ubunge wa Morogoro mjini kwa tiketi ya CHADEMA na dereva wa mgombea Ubunge wa Morogoro mjini Bi Devotha Minja wamekamatwa na Polisi muda huu huku mgombea huyo akisakwa baada ya kuwatoroka polisi.
Inadaiwa gari yake pia imekamatwa na ilikuwa ni katika harakati za kumteka ili asirejeshe fomu ya ugombea leo.
Aidha sababu za waliokamatwa bado hazijawekwa wazi.
Maelezo haya ni kwa mujibu wa yeye Devotha Minja ambaye yupo mafichoni.
Nasikitika hata maaskofu wangu wa Katoliki wametekwa nyara na liuaji wako kimyaaaa!!Viongozi wa dini ni wanafiki wa kutupwa.
Kwanini mnataka kumkamata?Sasa hiyo form atairejeshea huko mafichoni?
Ni kuni za motoni hawa wanatumika na shetani wamepoteza heshima zao kwenye jamii kwa kujinajisi sababu ya bahashaViongozi wa dini ni wanafiki wa kutupwa.
Punguza jazba mkuu, mara 9 kati ya 10 sababu huwa wanapewa wakifika kituoni.Maelezo ya kimbeya hayajitoshelezi wamekamatwa kwa sababu gani? Chadema mna uandishi Fulani hivi wa kipungufu akili mkiripoti kitu kiasi kuwa hata mjinga akisoma anaona wazi kuwa mleta mada kichwani Hana kitu
Andika vizuri sababu za kukamatwa na polisi ni nini
Maarage yanaeuka rukaga hivyo hivyo kama wewe, lakini moto ukikolea yanatuliaga!Devota Minja mjanja Fulani Kuna tetesi alienda kutaka kuuza hiyo fomu alipwe akabidhi kwa mnunuzi Kisha asingizie kaporwa alipoona Takukuru wanafuatilia akaingia mitini
Polis walipaswa kutumia busara, wangeruhusu akabidhi fomu, baada ya hapo wamshikilie.Kwa hili siro atawajibika"Sababu za polisi kutamka kumkamata hazijulikana" halafu Heche anasema polisi wanataka kumunyanganya fomu za kugombea ubunge!
Poor idiot!
I wonder why. Sio Mbowe tu, hata ACT naona nao wameungana na walalamishi wengine kuhusu wagombea wao kupokonywa fomu ama kutekwa kule Lindi. Ila wamekaa kimya tu as if kinachotendeka ni haki. Zitto toeni tamko kuhusu uhuni huu unaoendelea nchini wa kupokonyana fomu.Polisi wanatekeleza maagizo... Tume ipo kimya...
Mbowe kwa nn asitoe tamko au kujibu mashambulizi kimyakimya...
Halafu chadema wanaona kuuza fomu si kosa.Devota Minja mjanja Fulani Kuna tetesi alienda kutaka kuuza hiyo fomu alipwe akabidhi kwa mnunuzi Kisha asingizie kaporwa alipoona Takukuru wanafuatilia akaingia mitini