Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania bwana tunachekesha sana,yaani wengine wanatumia mapanga,mashoka,visu na mabunduki wewe unasuggest watumia makamera kurecord matukio,then wakisharecord wampelekee Nani? Kwa akili hizi mtauwawa sanakutokana na wimbi la wagombea wa upinzani kuwindwa na shetani kama swala ili watekwe au wauliwe huku viongozi wa dini na tume wakikaa kimya sababu wagombea wa CCM hawatekwi ni jukumu lao sasa wagombea wa upinzani kujihami binafsi na kurekodi matukio yote live watumie kofia,miwani,earphone, nguo zenye camera 360 degree warekodi kila kitu huku wakitembea na watu waliofully armed ili kujilinda endapo watafamiwa waweze kutoa fundisho ili wakamsimulie shetani aliyewatuma na sio kulalamika mnatekwa tekwa hovyo hovyo kirahisi tu kumbukeni mpo mawindoni sababu wanajua awatoboi kwenye sanduku.
Toeni funzo kama wananchi wa Ukara tembeeni hata na asidi atakaekugusa tu anayo ndo njia pekee ya kujihami,hatutaki watu wa kulialia safari hii.Rekodini matukio yote mrudishapo formu kama ushahidi na kuyarusha live watz wayaone.
Tatizo sio watanzania tatizo ni chama Cha Mapinduzi na serikali yake hi si ya kumung'unya bro. Chama kimekua chaki mafiaLazima tuwe na muafaka wa Kitaifa kwamba tunataka nini kama Watanzania.
Majadiliano ya pamoja yatatuweka huru iwapo yatakuwa na nia thabiti na ya kizalendo.
Kuna shida katika Taifa letu. Kama Watanzania, tuna kila sababu ya kujadiliana kwa pamoja kwa ajili ya Taifa na amani yetu na umoja na mshikamano.
Tatizo sio watanzania tatizo ni chama Cha Mapinduzi na serikali yake hi si ya kumung'unya bro. Chama kimekua chaki mafia
Hiyo ilishabuma tafta gia nyingine na mwaka huu mtanyooka tu machoko nyinyiDevota Minja mjanja Fulani Kuna tetesi alienda kutaka kuuza hiyo fomu alipwe akabidhi kwa mnunuzi Kisha asingizie kaporwa alipoona Takukuru wanafuatilia akaingia mitini
Mtanyoka tu niyeye 2020Chadema wanatengeza uwongo mwiingi ili angalau wapate kura za huruma.
Kaka mwenyekiti was CCM akiamua kukemea kwa jinsi anavyokubalika na kuheshimika unadhani haya maswala yangekuwepo leo??Hicho chama nacho kimeundwa na Watanzania pia.
Kwa hiyo Watanzania ndiyo tatizo. Chama kipo kwenye makaratasi ya kumbukumbu
Anza kurusha ngumi tukuone kwanza ili tukuige
Tutaheshimiana tukipigana
Anza kurusha ngumi tukuone kwanza ili tukuige
Akili zako unazijua mwenyewe!Hivi ni kwa kiwango gani mtu uko radhi kujifanya mwendawazimu kutetea upumbav?shwainHuko mafichoni wanapokea fomu za kugombea ubunge?
Ndio uwalaumu polisi wa nchi hii kwa upumbav wao na kutofuata sheria!Imekuwa kawaida wapinzani kukamtwa bila kuambiwa wamekamatwa kwa sababu gani na kuswekwa ndani mpaka pale watakapojisikia!Maelezo ya kimbeya hayajitoshelezi wamekamatwa kwa sababu gani? Chadema mna uandishi Fulani hivi wa kipungufu akili mkiripoti kitu kiasi kuwa hata mjinga akisoma anaona wazi kuwa mleta mada kichwani Hana kitu
Andika vizuri sababu za kukamatwa na polisi ni nini
Pumbav zenu,unaona hiki ulichoandika kina mantiki?Unakaa ndani kutunga uongo kwa manufaa ya nani?StupidDevota Minja mjanja Fulani Kuna tetesi alienda kutaka kuuza hiyo fomu alipwe akabidhi kwa mnunuzi Kisha asingizie kaporwa alipoona Takukuru wanafuatilia akaingia mitini
Hivi na wewe umesoma?Maelezo ya kimbeya hayajitoshelezi wamekamatwa kwa sababu gani? Chadema mna uandishi Fulani hivi wa kipungufu akili mkiripoti kitu kiasi kuwa hata mjinga akisoma anaona wazi kuwa mleta mada kichwani Hana kitu
Andika vizuri sababu za kukamatwa na polisi ni nini