cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Muwe mnalipa kodi ,
sasa mkataba wa mwaka mzima tena ulipe miezi mitatu mitatu ulisikia wapi?
Si Bora kalipa hivyo, kwa sababu mwenye nyumba kimeo.
Mpangaji amshitaki akome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muwe mnalipa kodi ,
sasa mkataba wa mwaka mzima tena ulipe miezi mitatu mitatu ulisikia wapi?
Hujui kama mkataba na malipo ni vitu viwili tofauti? Mkataba unaweza kusema malipo yatakuwa yanafanyika kwa miezi 3 mitatu ndani ya mwaka mmoja. Baada ya mwaka mpangaji atalazimika kuingia mkataba mpya na mmiliki kulingana na makubaliano mapya.Sasa mkataba wa mwaka,uliona wapi unalipa miezi mitatu mitatu? Hama kwenye nyumba ya watu.
We mzee sometimes unakua hauko sawa, kila kitu unachomekea udiniAngekuwa Salum au Asha kafanya hivyo, tungeipata Waislam wote humu JF na Tanzania nzima.
Lakini kwa kuwa kafanya kondoo mwenzao wa kilimanjaro, wote kimyaa.
Ingekuwa watu wa uelekeo wa makkah tayari amefanyiwa ufirauniAngekuwa Salum au Asha kafanya hivyo, tungeipata Waislam wote humu JF na Tanzania nzima.
Lakini kwa kuwa kafanya kondoo mwenzao wa kilimanjaro, wote kimyaa.
Angekuwa Salum au Asha kafanya hivyo, tungeipata Waislam wote humu JF na Tanzania nzima.
Lakini kwa kuwa kafanya kondoo mwenzao wa kilimanjaro, wote kimyaa.
Mfano mpangaji halipi kodi, kistaarabu mwenye nyumba anatakiwa kufanya nini? Remember nyumba ni biasharaNdio amfungie ndani masaa yote hayo?
Je angepata tatizo la kiafya humo angesaidika vipi?
Kuna aina zaidi ya kumi za kesi so wangeangalia mazingiraNdio amfungie ndani masaa yote hayo?
Je angepata tatizo la kiafya humo angesaidika vipi?
Yap maana alikuwa hataki kutoka na hapo atakuwa hajalipa madeni ya nyuma 😁😁Ndio amfungie ndani masaa yote hayo?
Je angepata tatizo la kiafya humo angesaidika vipi?
Anataka mpelumbe subiri nipo hapa baba abdoolMbona kila kitu unahusisha na dini yako? Una shida gani? Mbona tunaishi vizuri tu kila mtu? Wewe unaishi Tanzania gani iliyojaa unafiki kiasi hich
kiungwana kabisa unaambiwa uhame kwenye nyumba ya mtu, ila wewe unajifanya mjuaji kaidi na jeuri zaidi ya mwenye haki,Wakuu, huu ni Uungwana kweli?
Huko Marogoro mwenye nyumba kamfungia ndani saa 27 mpangaji kisa amekiuka notisi
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mmiliki wa nyumba Plot namba 149 BLOCK ‘A’ Kihonda Kilimanjaro, Dk. Lusako Mwakiruma ilioyopo Mtaa wa Kilimanjaro Manispaa ya Morogoro, amemfungia ndani mpangaji wake kwa saa 27 kisha kumtolea vitu vyake nje, kwa madai kuwa mpangaji huyo, Paschal Paulo alishindwa kupokea notisi ya kumtaka ahame kwenye nyumba hiyo ndani ya mwezi mmoja.
Angekuwa Salum au Asha kafanya hivyo, tungeipata Waislam wote humu JF na Tanzania nzima.
Lakini kwa kuwa kafanya kondoo mwenzao wa kilimanjaro, wote kimyaa.
Kuna mfia dini mmoja ndgu yake FaizaFoxy alikataa kuuza kiwanja chake kilicho karibu na barabara, sio kua kwasababu hana shida na pesa ila anaetaka kununua ni mkristo na yeye hapokei pesa toka kwa mtu wa dini tofauti yake.Hiyo dini itakufanya chizi. Kwa siku usipotukana mkristo au asiye wa dini yako hupati amani. Kwa hiyo kila anayekosea makosa yake hupimwa kwa dini yake. Nenda magereza kahesabu waliofungwa na dini zao halafu ulete huo ushabiki wako humu. Wewe huwezi kumpangisha asiye wa dini yako.
Wakuu, huu ni Uungwana kweli?
Huko Marogoro mwenye nyumba kamfungia ndani saa 27 mpangaji kisa amekiuka notisi
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mmiliki wa nyumba Plot namba 149 BLOCK ‘A’ Kihonda Kilimanjaro, Dk. Lusako Mwakiruma ilioyopo Mtaa wa Kilimanjaro Manispaa ya Morogoro, amemfungia ndani mpangaji wake kwa saa 27 kisha kumtolea vitu vyake nje, kwa madai kuwa mpangaji huyo, Paschal Paulo alishindwa kupokea notisi ya kumtaka ahame kwenye nyumba hiyo ndani ya mwezi mmoja.
Nimeshangaa mkataba mwaka analipa miezi mi 3Muwe mnalipa kodi ,
sasa mkataba wa mwaka mzima tena ulipe miezi mitatu mitatu ulisikia wapi?
Lazima mwenye nyumba akupe muda wa kujipanga na kutafuta nyumba nyingine(notice), tusiendekeze ujinga wa wenye nyumba kuendesha nyumba zao kiswahili swahili.Kiustaarabu, mwenye nyumba akikwambia hama kwenye nyumba yake, basi mdai kodi ya miezi iliyobaki, kama kodi imeisha basi sepa tu, usitake sana mambo ya notice.
Ila kisheria mwenye nyumba ana makosa
Unaweza kuwa hata mkataba wa miaka kumi na kodi inalipwa kwa wiki moja moja, ni makubaliano tu.Muwe mnalipa kodi ,
sasa mkataba wa mwaka mzima tena ulipe miezi mitatu mitatu ulisikia wapi?
Nyumba za kupanga sasa zianze kusajiliwa rasmi na wenye nyumba walipe kodi ya mapato kwa serikali.inaonesha uungwana ulimshinda mpangaji ndio maana mwenye nyumba naye akaweka ustaarabu pembeni, tukiwa wapangaji tukae vizuri na wenye nyumba wetu ili papanp changamoto tusitirike, ukileta ubabe na si kwako ndo madhara haya.