Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Wala usishangae,Nimeshangaa mkataba mwaka analipa miezi mi 3
Inawezekana hata kwa mkataba huo wa mwaka akawa analipa mwezi mmoja, ni makubaliano tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala usishangae,Nimeshangaa mkataba mwaka analipa miezi mi 3
Kosa kisheria pia.Huo ni udhalilishaji na ukosefu wa utu.
Si ndio huu hapo sasa, mbona kazini watu wanasaini mkataba wa miaka mitano halafu wanalipwa kwa mwezi au wiki.Sasa mkataba wa mwaka,uliona wapi unalipa miezi mitatu mitatu? Hama kwenye nyumba ya watu.
Serikali ilitoa amri watu walipe Kodi au pango ya nyumba kila mwezi siyo miezi mingi kwa mkupuo.Wala usishangae,
Inawezekana hata kwa mkataba huo wa mwaka akawa analipa mwezi mmoja, ni makubaliano tu
Labda anataka aje atolewe kwenye nyumba na madalali wa Mahakama ndiyo atakubali kutoka!!Kweli mpangaji si muungwana,muda wake umeisha hama hutaki kuhama unataka nini matokeo yake ndo hayo.
Hivyo vya udini vimeingiaje? Yaan we ni mtu mzima hovyoAngekuwa Salum au Asha kafanya hivyo, tungeipata Waislam wote humu JF na Tanzania nzima.
Lakini kwa kuwa kafanya kondoo mwenzao wa kilimanjaro, wote kimyaa.
Kodi ikiisha na kama hujalipa automatically wwe ni mvamizi na lazima utolewe kwa nguvu kama hutaki hiari!!Umesoma wapi kuwa mkataba umeisha?
Mwenye nyumba ame unja mkataba kwa sms
Puuzi moja hilo usijisumbue hata kujibizana naloHiyo dini itakufanya chizi. Kwa siku usipotukana mkristo au asiye wa dini yako hupati amani. Kwa hiyo kila anayekosea makosa yake hupimwa kwa dini yake. Nenda magereza kahesabu waliofungwa na dini zao halafu ulete huo ushabiki wako humu. Wewe huwezi kumpangisha asiye wa dini yako.
Bongo sekta ya upangishaji nyumba imekaa kiduwanzi sana, mtu anataka malipo ya miezi sita wakati wafanyakazi karibia wote wanalipwa kwa mwezi, wiki au siku! Ni uhovyo tu ila ndio sekta huria hii kila mtu anafanya anavyoona inamfaa na mali yake.Serikali ilitoa amri watu walipe Kodi au pango ya nyumba kila mwezi siyo miezi mingi kwa mkupuo.
Ilikuwa enzi za Dk.Mwakyembe waziri wizara fulani.
Nafikiri kipindi cha Magufuli.
Akikasirika,akajenge yake.Huo ni udhalilishaji na ukosefu wa utu.
Kajenge Yako,ujue uchungu wa ujenzi wa nyumba na dhamani ya kiwanjaBongo sekta ya upangishaji nyumba imekaa kiduwanzi sana, mtu anataka malipo ya miezi sita wakati wafanyakazi karibia wote wanalipwa kwa mwezi, wiki au siku! Ni uhovyo tu ila ndio sekta huria hii kila mtu anafanya anavyoona inamfaa na mali yake.
Kuna mfia dini mmoja ndgu yake FaizaFoxy alikataa kuuza kiwanja chake kilicho karibu na barabara, sio kua kwasababu hana shida na pesa ila anaetaka kununua ni mkristo na yeye hapokei pesa toka kwa mtu wa dini tofauti yake.
Ni kweli mwenye nyumba ana makosa kwani Hakuna mtu au chombo mwenye idhini ya kumuweka mtu kizuizini bali ni vyombo vya Dola tena baada ya kufuata na kuzingatia Taratibu zilizowekwa Kisheria.Kiustaarabu, mwenye nyumba akikwambia hama kwenye nyumba yake, basi mdai kodi ya miezi iliyobaki, kama kodi imeisha basi sepa tu, usitake sana mambo ya notice.
Ila kisheria mwenye nyumba ana makosa
Na mikoa ya kusini, Lindi na MtwaraSema moro kuna upumbavu mwingi sana kwa wenye nyumba trust me
Ni jambo jema lakuigwa wapangaji wengine ni wakorofi.Wakuu, huu ni Uungwana kweli?
Huko Marogoro mwenye nyumba kamfungia ndani saa 27 mpangaji kisa amekiuka notisi
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mmiliki wa nyumba Plot namba 149 BLOCK ‘A’ Kihonda Kilimanjaro, Dk. Lusako Mwakiruma ilioyopo Mtaa wa Kilimanjaro Manispaa ya Morogoro, amemfungia ndani mpangaji wake kwa saa 27 kisha kumtolea vitu vyake nje, kwa madai kuwa mpangaji huyo, Paschal Paulo alishindwa kupokea notisi ya kumtaka ahame kwenye nyumba hiyo ndani ya mwezi mmoja.
Mkuu utaenda kufia jela uache familia ikiteseka, tujaribu kudhibiti hasira zetuTena ukikutana na mmiliki kichaa kama Mimi ninakuchapa risas... Live.