Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Labda alikuwa anamsotea mtoto wa mwenye nyumba aliona hawezi kuondoka bila kumsugua gaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye nyumba naona mmekuwa wakali kama pilipili.Huyu mama mkorofi
Hata mm nashangaa.Udini umetokea wapi tena?
Pascal njoo huku umsaidie wajina wako, hii itakuwa ni sehemu ya kurudisha fadhila kwa wananchi.Wakuu, huu ni Uungwana kweli?
Huko Marogoro mwenye nyumba kamfungia ndani saa 27 mpangaji kisa amekiuka notisi
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mmiliki wa nyumba Plot namba 149 BLOCK ‘A’ Kihonda Kilimanjaro, Dk. Lusako Mwakiruma ilioyopo Mtaa wa Kilimanjaro Manispaa ya Morogoro, amemfungia ndani mpangaji wake kwa saa 27 kisha kumtolea vitu vyake nje, kwa madai kuwa mpangaji huyo, Paschal Paulo alishindwa kupokea notisi ya kumtaka ahame kwenye nyumba hiyo ndani ya mwezi mmoja.
Yan umeshindwaje kuielewa hoja yangu? Hoja ni kwamba mpangaji hawezi kufanya maamuzi ya ni lini alipe na ni kwa namna gani malipo hayo yatakuwa.Unalinganisha vitu visivyo faa kulinganisha.
Ukienda kununua nyama unaanza kuandikiana mkataba na muuzaji?
Nyama biashara ya pesa ndogo wakati nyumba biashara ya pesa nyingi.
Ushaona Chama Cha wanunuzi nyama buchani pekee?
Kuna Chama Cha wapangaji pekee.
Tumia akili yako yote kabla hujasema lolote.
Kuna kupata shida katikati ya mkataba wako ikachangia kukosa pango kamili inapoisha pesa iliyo lipia tayari. Tusijitoe utu, hata taasisi za fedha wanasikiliza wateja wanaowadai na kuchelewesha malipo baada ya kupata tatizo.
Mkuu; Nilisahau hapo juu kukuambia kwamba Hakuna pesa ndogo. Kodi ya nyumba ni pesa kama pesa nyingine kwenye biashara. Kama ingelikuwa ni pesa ndogo si angelipa chap' sio mpaka afungiwe ndani kama utumbo.Unalinganisha vitu visivyo faa kulinganisha.
Ukienda kununua nyama unaanza kuandikiana mkataba na muuzaji?
Nyama biashara ya pesa ndogo wakati nyumba biashara ya pesa nyingi.
Ushaona Chama Cha wanunuzi nyama buchani pekee?
Kuna Chama Cha wapangaji pekee.
Tumia akili yako yote kabla hujasema lolote.
Kuna kupata shida katikati ya mkataba wako ikachangia kukosa pango kamili inapoisha pesa iliyo lipia tayari. Tusijitoe utu, hata taasisi za fedha wanasikiliza wateja wanaowadai na kuchelewesha malipo baada ya kupata tatizo.
We Bibi bana mbona una chuki kiasi ichoAngekuwa Salum au Asha kafanya hivyo, tungeipata Waislam wote humu JF na Tanzania nzima.
Lakini kwa kuwa kafanya kondoo mwenzao wa kilimanjaro, wote kimyaa.
Ukweli huwa ni chuki eeh?We Bibi bana mbona una chuki kiasi icho
Ukiwemo na weweWenye nyumba naona mmekuwa wakali kama pilipili.
Mkuu; uliandika (post # 12 )"......Salum na Asha kisha ukataja Waislamu wote wa Jf na Tz kwa ujumla........" kitu ambacho kinaonesha dhahiri kuwepo kwa Udini.Hakuna udini hapo, kuna ukweli.
Mkuu; Ulitumia Utaratibu gani katika kufanya hayo? i.e. Uliwashirikisha akina nani e.g. uongazi wa mtaa/kitongoji/kijiji ili iwe ni ushahidi dhidi ya Ukorofi wake au ulifanya kimya-kimya kama ulivyomfungia humo ndani kimya kimya?? (Utani lakini au ni kwa kicheko; Ukataji gogo ilikuwaje mkuu?Nimemwachia Kodi ya miezi 3 hajanilipa na bill ya maji ya miezi 6 nimelipia mwenyewe. Ili mradi tu aniachie gofu na pagale langu nifugie hata njiwa itanilipa.
Niliamua kuwa mpole tu aondoke. Sipendi shari. Au ningeng'oa bati si etiMkuu; Ulitumia Utaratibu gani katika kufanya hayo? i.e. Uliwashirikisha akina nani e.g. uongazi wa mtaa/kitongoji/kijiji ili iwe ni ushahidi dhidi ya Ukorofi wake au ulifanya kimya-kimya kama ulivyomfungia humo ndani kimya kimya?? (Utani lakini au ni kwa kicheko; Ukataji gogo ilikuwaje mkuu?
Exactly Yes. Lakini pia urahisi huo uendane sambamba na kulipa kodi kwa wakati muafaka.Kupanga ni rahisi kuliko kujenga
Hakuna haja ya kung'oa bati lakini sheria ingembana alipe malimbikizo na halafu kuondoka kwa hiari bila shuruti.Niliamua kuwa mpole tu aondoke. Sipendi shari. Au ningeng'oa bati si eti
Ukilipwa kodi kwa haraka hakikisha pia nyumba inakarabatiwa, maji yapo na unatoa notice stahiki ukitaka mtu ahameExactly Yes. Lakini pia urahisi huo uendane sambamba na kulipa kodi kwa wakati muafaka.
Wewe bibi huwa ni mjinga sana, kila kitu unakifikiria kidini hata ambavyo havistahili udiniAngekuwa Salum au Asha kafanya hivyo, tungeipata Waislam wote humu JF na Tanzania nzima.
Lakini kwa kuwa kafanya kondoo mwenzao wa kilimanjaro, wote kimyaa.
Tambua, mimi ni tukio lingine sio Morogoro alikofungiwa huyo kamanda, ila ni kweli, mpangaji wangu nilimruhusu andoke na deni la miezi mitatu na bill ya maji ya miezi 6, KIROHO safi, sijui balozi, au mashahidi sikutaka.Hakuna haja ya kung'oa bati lakini sheria ingembana alipe malimbikizo na halafu kuondoka kwa hiari bila shuruti.
Yeah. Haki iendane na Wajibu. Mwenye nyuma awajibike kwa yale yanayompasa ili kuhalalisha Malipo ya kodi na Mpangaji naye alipe kodi ili kwa kodi hiyo kumwezesha mwenye nyumba atimize yale yanayostahili.Ukilipwa kodi kwa haraka hakikisha pia nyumba inakarabatiwa, maji yapo na unatoa notice stahiki ukitaka mtu ahame
Na wewe una majini kama vile Shehe Sule anasema waislam na hata mtume alikua na majini!?Angekuwa Salum au Asha kafanya hivyo, tungeipata Waislam wote humu JF na Tanzania nzima.
Lakini kwa kuwa kafanya kondoo mwenzao wa kilimanjaro, wote kimyaa.