Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

Jambazi au aliyekaidi amri ndio anakamatwa sasa sijui hapo true boy anakamatwa vipi
 
Mwisho wa siku watanzania wote tutakaa mahabusu hakuna namna hii nchi imeharibiwa na CCM kwa kutumia vilaza wao Bashite na Baba yake
 
Kuna wakati namuelewa sana SANA sana Magufuli na nimejaribu kuangalia wengi wanaolalamika ni wale wale wa siku zote ambao hawataki mambo yao yawe hadharani
ACHA UPUUZI RAIA GANI HUYO ASIYE KUWA NA ADABU KWA VIONGOZI.....
amekosa adabu gani, amemtaja nani? nchi gani ameitaja? Wewe zuzuz tu wa sheria na taratibu. watamshitaki kwa kosa lipi?
 
Huo wimbo hamna sehemu aliyotaja neno kikwete kataja tu jakaya...but huyo jakaya unauhakika gani ni jakaya unayemfahamu wewe??na una uhakika upi kuwa kuwa wimbo ule unamaanisha ulivyouelewa wewe...ile ni kazi ya sanaa wewe ulivyo tafsiri inaweza kuwa sivyo ndivyo
 
Huu Uzi utanisaidia kufahamu umri halisi na IQ za member wa humu!
 
Kichaa kapewa rungu anapiga ovyo ovyo bora akamatwe atiwe ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…