Itakua ile nyimbo yake mpya ujulikanaya kwa jina la wapo
We kilaza unajua matusi wew...ebu tutajie matusi aliyotukana?Safi sana, ashughulikiwe ipasavyo, kucriticise ni haki ila kutukana ni jinai.
uhuru sio huu mkuu...kuna maneno mwishoni pale du??Tanzania yangu hii! Kama vipi wanzania wote tungekuwa wahehe tungechukua uamuzi wa kujinyonga, basi. Wimbo wa Ney una kashifa gani? Mi naona amewakilisha kile ambacho watanzania wengi tunakijua na tunaamini ni kweli. Uhuru wa mtu kutoa mawazo uko wapi sasa?
Mkuu hiyo case nay atawapiga chini tu..semeni kamtukana nani na kasemaje??Vijana mliopo bongo msijifanye kumuiga MANGE KIMAMBI mtaumia na kuzipa familia zenu shida,hari ishakuwa mbaya .
Hayo maneno ya mwishoni kamtukana nani na kwa ku semaje.uhuru sio huu mkuu...kuna maneno mwishoni pale du??
Kwa Kamanda sirro ataenda keko ushuani abaki huko huko bushMleteni huku kwa kamanda siro
Majibu umeyapata ni kuhusu ule wimbo pendwa uliotoka na unapendwa sana mtàaniNani katukanwa?
Leo hamjui tena hahahha daaa kazi kweli kweliHivi Kuna mtu anaitwa Bashite?
Nakuelewa unachosema mkuu. Tatizo labda reference yako ni Tz yetu ya Magufuli. Ungetembea kidogo huko duniani ungelewa ninachomaanisha. Kwa wenzetu walioendelea wimbo kama huo itakuwa ni kichekesho mtu kukamatwa.uhuru sio huu mkuu...kuna maneno mwishoni pale du??
Wapo walio mu miss Jakaya!kosa sana alipomsifia JK yaani hapo ndo aliharibu kabisa
Kamsaidie mkuu kulia humu hakusaidi gereza zuri Tanzania ni keko pekee yakeUhuru wa kuongea. Yule mwingine kamuimba JK kumbe alikuwa anataka kuimbwa yeye.
Tenda haki basi!Yeye kaamua pesa zote Chato hakuna anayemzuia asituzuia kusikiliza tunachokipenda.
Aligombea mwenyewe hatukumuomba.
Hahahha dawa inaanza kupenya mnaanza kumkana bashite hahahaRespect ipi anayotafuta Magu??Ya kutukana waliompigia Kura??
Hivi unawaambia RAIA wako wanapenda Umbea wakati Kiongozi unasikiliza kipindi cha Shilawadu??
Kama wanapenda Respect afuate sheria.Ukiona hivyo ujue watu wamechoka.Ndiyo ajifunze kutumia kauli njema na pia aende haki.
Kwani kuna MTU anaitwa Bashite??