shamajengo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,217
- 1,432
Lumumba wakikutana na akili Kama zenu wanafurahi Sana maana wanauhakika wa kutawala watakavyo kisa waoga Kama nyie mnao ogopa hata kuuliza eti mnaiga mange kimambi Kama utakuwa mwanaume jiangalie Sana unapokuwa mwoga si ajabu unaweza kutembelea ukweni ukakaa wiki nzima kisa unaogopa kumwambia mkeo muondokeVijana mliopo bongo msijifanye kumuiga MANGE KIMAMBI mtaumia na kuzipa familia zenu shida,hari ishakuwa mbaya .
Kwani kaishasema kakamatiwa niniMkuu wakikujibu naomba niite. Maana hili swali hata akiulizwa Marais wa hawamu zote sijui kama watakuwa na Jibu.
Jipe moyo sio kwa kunyooshwa hukuHiyo kesi ukifika mahakamani atashinda maana hakuna alipomtaja rais au kiongozi yoyote waziwazi. Yale Yale ya ******************* (JPM).
Mboweamemtukana nani?
Haita kick mwezi ila ye jela atakaa hahahaKumkamata mnazidi mpa kiki... Wimbo utavuma zaidiii...
MboweNay kamtukana nani?
Chadema chama cha ukooWe kilaza unajua matusi wew...ebu tutajie matusi aliyotukana?
Kamtukana mbowe kasema chadema chama cha ukooMkuu hiyo case nay atawapiga chini tu..semeni kamtukana nani na kasemaje??
AfconMbona wimbo hauna tatizo kabisaaa...
Tunaenda wapi Tz!??
Sijaelewa, kuna nini kwani hadi iwe hivyo?Acha mie nikaushe isije tukajaa central watz wote
Kuzidi weweHili nchi lina mijitu mijinga sana sasa ney katukana sehem gan zaid kaongea ukwel
Movie mpyaNadhani kuna haja ya kuisambaza tamthilia ya "Mfalme ****" kwa wadau wote kuanzia koromije mpaka magogoni
Kaiba mvomero ndo maana katoka moro twn wamemrudisha mvomeroNakuelewa unachosema mkuu. Tatizo labda reference yako ni Tz yetu ya Magufuli. Ungetembea kidogo huko duniani ungelewa ninachomaanisha. Kwa wenzetu walioendelea wimbo kama huo itakuwa ni kichekesho mtu kukamatwa.
Kapimwe akili naona unaongelea mapenz huongelei uhalisia wa jambo nyie ndo mnaturudisha nyumaKuzidi wewe
We huogopi?Lumumba wakikutana na akili Kama zenu wanafurahi Sana maana wanauhakika wa kutawala watakavyo kisa waoga Kama nyie mnao ogopa hata kuuliza eti mnaiga mange kimambi Kama utakuwa mwanaume jiangalie Sana unapokuwa mwoga si ajabu unaweza kutembelea ukweni ukakaa wiki nzima kisa unaogopa kumwambia mkeo muondoke
Unaishi Temeke au Manzese ? maana huko mtu anaweza hata kutamka k**ma na haoni tatizo loloteMbona wimbo hauna tatizo kabisaaa...
Tunaenda wapi Tz!??