Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,745
Alisema kichaa kapewa rungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna tofauti na Bashite!!Kuzidi wewe
uonevu gani wewe ulioupata? ndugu eleza uonevu wako na sio kuegemea kwa wengineIssue siyo kumuiga Mange. Watanzania wemechoka uonevu. Kwa mwendo huu natabiri Tanzania kuzalisha wakimbizi kwa maelefu kabla 2020.
Unajitazamaje sasa kura si ilikua siriIpo haja ya kujitazama upya tulichokifanya 2015
Mvomero sio pazuriSerikal itampa kiki ney wa mitgo na wimbo utajuwa viral.
We acha tuUnajitazamaje sasa kura si ilikua siri
Nadhani serikali ijikite kwenye kutekeleza yaliyomo kwenye ilani yaliyosababisha wananchi wakaichagua CCM, haya mengine yatawapotezea muda bure, maana waliokuwa wakizunguusha mikono kwenye kampeni walikuwa wengi sana hakuna mahabusu zitakazowatosha hata kama ungependa kuwatia ndani wote. Tuangalie picha kubwa ya kuwaletea maendeleo wananchi kuelekea 2020 na kuendelea, hivi vidogovidogo vitaichelewesha serikali bure katika kutimiza yale iliyowaahidi wananchi.Yesu alimaliza kazi yake ndipo akasurubiwa lakini mbegu ya neno ilikuwa ishapandwa kwenye mioyo ya wanadamu..
Ney kasha fanya kazi...
Kumkamata nikusaidia tu wimbo uwafikie watu wengi zaidi,wengi watataka kujua ameimbaje hata kumpelekea akamatwe?; kwa hivyo serkali inajitshidi kujinyoga yenyewe
Kweli kabisa.hatujafikia hapo jamani ndio maana kuna kautamaduni pia ndani ya maisha yetu.huko juu wamefikia hapo kwenye "freedom of speech" wakisaidiwa na utamaduni..sasa kwa jamii zetu ambapo mamamkwe hatakiwi aone hata sura ya kidume aliyeoa mwane haya maneno yangeachwa kwanza tusogeesogee hata 2050 huko ili kizazi hiki kipite..shule za kata zimeleta uchangamfu kiasi kwamba yale yaliyokuwa yakitokea Dar enzi hizo yalikuwa yanafika bara baada ya mwaka mzima.misemo,fasheni n.k.lakini kwa hivi sasa jambo la hovyo likitokea Dar linasambaa ndani ya nusu saa hadi kwetu ihanzutwa kule mafinga. Huko kwenye freedom of speech wanaruhusu ndoa za jinsia moja,wasagaji n.k.....Ni sawa lakini nadhani bado tunahitaji kulinda na kuheshimu mila na utamaduni wetu wa kuheshimu wakubwa zetu na kutowatolea maneno ya kejeli kupita kiasi.Nakuelewa unachosema mkuu. Tatizo labda reference yako ni Tz yetu ya Magufuli. Ungetembea kidogo huko duniani ungelewa ninachomaanisha. Kwa wenzetu walioendelea wimbo kama huo itakuwa ni kichekesho mtu kukamatwa.
Ukiwa chizi kama yeye huwezi kuona kosa.Alifanya kosa gani huyu jamaa?
kamtukana nani?Safi sana, ashughulikiwe ipasavyo, kucriticise ni haki ila kutukana ni jinai.
Wananyakua tu viherehereNadhani serikali ijikite kwenye kutekeleza yaliyomo kwenye ilani yaliyosababisha wananchi wakaichagua CCM, haya mengine yatawapotezea muda bure, maana waliokuwa wakizunguusha mikono kwenye kampeni walikuwa wengi sana hakuna mahabusu zitakazowatosha hata kama ungependa kuwatia ndani wote.
Hivi unaishi ulaya au Tanzania? Aliye na macho haambiwi ona.uonevu gani wewe ulioupata? ndugu eleza uonevu wako na sio kuegemea kwa wengine
Kuwa mstaarabu kidogo!Ukiwa chizi kama yeye huwezi kuona kosa.
Ahadi za mwana - TANU .Nitasema kweli daima! Fitina kwangu................(in voice of Nape)
tupo nae gereza la mbigiri hapa dakawa.Kwa Kamanda sirro ataenda keko ushuani abaki huko huko bush