Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Unajua kuna watu waliozaliwa na kukulia Manzese na Temeke kuna maneno magumu sana ambayo ni matusi lakini wao huwa wanatamka tu na wanayaona ni maneno ya kawaida - MaleziKatukana vipi? Hebu tutajie baadhi ya matusi aliyoyatoa...