Umeusiliza huo wimbo lakini au unakimbilia kuandika tu hajataja jina la mtu amemtaja mheshimiwa unajua hii nchi ina waheshimiwa wangapi unajua maana ya Mheshimiwa........... Au aliposema dokta mtumbua majipu ndio umemuhusisha na naniiihiii kwani madokta wa majipu wapo wengi hata kijijini kwenu yupo .Pia aliyetajwa humo ni Bashite wa kolomije na nikweli ambaye kweli ana jipu ni jirani yangu mbona huku usukumani ukiita watu wenye majina ya Bashite unajaza fuso na majipu ni kawaida kwa mwanadamu yawezekana hata wewe ushawahi kuugua jipu sasa jinai inatoka wapi hakuna kesi hapo sana sana wanampa umaarufu na kumdhalilisha wanaemtetea mwisho wa siku anashinda kesi labda BASATA ndio wamfungie kufanya mziki maisha au miaka kadhaa kutegemeana na sheria zao ila jinai hakuna hapo!!! Elimu Elimu Elimu............