Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

Umeusiliza huo wimbo lakini au unakimbilia kuandika tu hajataja jina la mtu amemtaja mheshimiwa unajua hii nchi ina waheshimiwa wangapi unajua maana ya Mheshimiwa........... Au aliposema dokta mtumbua majipu ndio umemuhusisha na naniiihiii kwani madokta wa majipu wapo wengi hata kijijini kwenu yupo .Pia aliyetajwa humo ni Bashite wa kolomije na nikweli ambaye kweli ana jipu ni jirani yangu mbona huku usukumani ukiita watu wenye majina ya Bashite unajaza fuso na majipu ni kawaida kwa mwanadamu yawezekana hata wewe ushawahi kuugua jipu sasa jinai inatoka wapi hakuna kesi hapo sana sana wanampa umaarufu na kumdhalilisha wanaemtetea mwisho wa siku anashinda kesi labda BASATA ndio wamfungie kufanya mziki maisha au miaka kadhaa kutegemeana na sheria zao ila jinai hakuna hapo!!! Elimu Elimu Elimu............
Waheshimiwa wapo wengi, wabunge, wadiwani, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya nk
 
Uhuru wako ukiutumia vibaya ujue unajigharim mwenyewe.

Nani alikupa Uhuru wa kutukana? Hata Mwenyezi Mungu mwenyewe hakuruhusu kila kitu ujifanyie unavyotaka bana.

Hakuna Uhuru wa kutukana,kukejeri,na kutumia lugha ya maudhi.
Binamu una akili sana, siku zote uhuru bila adabu ni wendawazimu
 
Hii nchi kwa sasa tulipofika inatisha....ukiwaudhi wenye nchi yao unaenda jela iko hivyo
 
Ukitaka uhuru wa kuongea, ongea vitu vyenye msingi, vya kujenga na kushauri pasipo matusi nafikiri ukifanya hvyo unaweza usiwe na matatzo na upande wowot ila ukitoa matusi kama naye wajinga wenzake ndio wataropoka kudai uhuru
Witty comment.. Watanzania wanataka uhuru wa kutukana hovyo serikali bila hoja zenye mashiko, wacha waisome namba... Not to that extent
 
"AMEONGEA LILILOPO NA NI WIMBO WA WATANZANIA WOTE"
SIONI KOSA LAKE,LAKINI KATIKA NCHI ONEVU KAMA HII ATAPATA TABU"
SIONI KOSA LAKE
SIONI KOSA LAKE
SIONI KOSA LAKE
•AMEIMBA KILIO KILICHOPO MITAANI
Kilio cha nani? Wanafiki wakubwa nyie ndo mkasaidie polisi kunyea debe
 
Back
Top Bottom