MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,747
- 2,977
Hataki mapenzi, anataka pesa.Haya wakigawana 3 each, mapenzi yatarudi? Non sense.... na nakuhakikishia huyo Matrida ataachwa Solemba!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hataki mapenzi, anataka pesa.Haya wakigawana 3 each, mapenzi yatarudi? Non sense.... na nakuhakikishia huyo Matrida ataachwa Solemba!!
Kile Cheti Cha ndoa hutolewa na kanisa?Kwa vipi Serikali iingilie mambo ya ndoa. Nadhani hizi zinapaswa kumalizia kanisani.
Eeh yamefika huko tena!! 🤣🤣🤣🤣CCM wanatia aibu sana
Kwani Makundi unamuitaje!?Analazimisha kupendwa, ukute yeye ndio chanzo cha mume wake kwenda kuoa mwanamke mwingine. Hakuna mwanaume anaeweza Acha mke mwema. Hadi mwanaume kuoa mke mwingine shida ni kasoro ya mke wa kwanza kashindwa kujua wajibu wake ni nini.
Hovyo!Sasa mbona hakuna ugoni wowote hapo! Nilichogundua, Matilda Sigaret ni mwanamke mtata (pilipili)! Na asiyetaka kukubali matokeo.
Bora angewekeza nguvu zake kwenye kugawana mali na huyo Profesa (kama waliishi pamoja). Badala ya kutaka kulipwa hela za bure.
Kuoa Mke mwingine kinyume na mkataba kumbe ni nini?Sasa mbona hakuna ugoni wowote hapo! Nilichogundua, Matilda Sigaret ni mwanamke mtata (pilipili)! Na asiyetaka kukubali matokeo.
Bora angewekeza nguvu zake kwenye kugawana mali na huyo Profesa (kama waliishi pamoja). Badala ya kutaka kulipwa hela za bure.
Kwa hiyo unafkiri wakili wa Matilda hajui hayo!?Hivi watu wanachukulia poa kesi km hizi wanaona ni za kawaida tu, yaan unatoa tu maamuzi bila kuangalia vithibitisho na mtiririko wa kesi?
Ndoa ya kikristo Haina Talaka masharti yake ni magumu Hadi umfume mtu kitu ambacho Jamaa hawezi..Sasa Professor si ungempa tu talaka kwanza
Kwa hiyo unafkiri wakili wake hajui hayo!?Hii kesi mama kashashindwa mapeeema, yaan bora angeenda kanisani angesaidiwa angalau km angeshindwa ndio angeenda mahakamani kwa ushauri wa baba paroko kwamba huku tumewashindwa nendeni mahakamani na barua wanapewa, sasa hukurupuki tu kukimbilia mahakamani unaikimbilia Marriage Act je! umefuata procedure ulienda kanisani kupata suluhu mkashindwana na kupewa kibari cha kwenda mahakamani au kalidharau kanisa?
Kwani alikuwa housegirl Hadi useme hivyo? Anadai fidia ya kumdhalilisha lipeniHiyo miaka 10 alikuwa analipa kodi ya nyumba au alikuwa analala bure? , Hiyo miaka 10 alikiwa analishwa au alikuwa analazwa njaa? Hiyo miaka 10 watoto wake wamesomeshwa au wameachwa wawe machokoraa? Nini limzuia kujenga nyumba zake hadi ategemee za mwenzake?
Kuchakatwa ni tendo la starehe, kama alikuwa anapewa starehe willingly shida ipo wapi? Mbona wasipochakatwa wanachepuka?
Yamekukuta sio Kwa povu hili 💉💉💉💉🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Ila mimama ya nyumbani inakuwaga jau sana, lenyewe likishapika michicha yake na ugali linashinda na makanga ukichanganya na visirani na ubishi wa kiha basi burudani
Hujakutana na wanawake watata wewe,iishie wapi? Kwanza anaweza kukulaza ndani na ukanyea debe vilevileKesi kama hizi ushahidi wake huwa haupatikani kirahisi kama mnavyodhani. Itapigwa kalenda kwa miaka mingi hatimaye itafutwa kwa kukosa ushahidi. Huyu mwanamke aliyefungua kesi hana akili. Yeye anashindwa kuwajibika kwa mumewe kumgawia mbunye ipasavyo lakini anamzuia asioe? Mpuuzi mkubwa! Mwanamke asiyekuwa na akili huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.
Wote wawili,Angetakiwa Amshtaki mwanamke na sio Prof
Mlipeni fidia asepe zakeNdo maana tunasisitiza Matilda atumie njia za kiasili kumthibiti huyo bank teller kimya kimya
Kwani hawajafunga ndoa prof na huyo bank teller?Evidence of character
Rejea kusoma Evidence Act utaelewa nnachomaanisha, nyinyi mnaangalia maamuzi yatatolewa kwa kuangalia cheo cha mtu au muonekano wa mtu hell no wanaweza hata wasiwe na kosa la ugoni Ila Matrida kapika kesi kwa sababu zake binafsi you never know
Ndio hajui,Kwa hiyo unafkiri wakili wa Matilda hajui hayo!?
Ndio hajui,Kwa hiyo unafkiri wakili wake hajui hayo!?
Ndoa Yao ni batiliKwani hawajafunga ndoa prof na huyo bank teller?