Morogoro: Profesa wa SUA afikishwa Mahakamani kwa shitaka la ugoni, mkewe adai fidia ya Milioni 100

Morogoro: Profesa wa SUA afikishwa Mahakamani kwa shitaka la ugoni, mkewe adai fidia ya Milioni 100

1. Ndoa#2 Ni batili hence wazinzi.
2. Ndoa#1 itaendelea, ikiwa mmojawapo atataka divorce Lazima kuwe na vigezo ili mahakama ikiridhika itoe divorce. Au separation.
Kwa kusaini cheti kingine cha ndoa na bank teller prof amefsnya *Falsification maana Kuna sehemu inamtaka kuthibitisha kuwa kama ana ndoa nyingine.
 
Ndio maana kanisani hua wanatoa pingamizi sasa imekuaje hakuna database ya vyeti vya ndoa ikagundulika kabla ya kuleta sintofahamu maana yake utendaji wa Serikali kwenye masuala ya ndoa na talaka ni mbovu au unamaanisha nini? Yaan Serikali haina database ya vyeti vya ndoa na talaka? Ndio unamaanisha hivyo?
Kwa mujibu wa Sheria ya Ndoa, Serikali ina database ya watu waliofunga ndoa na watu walio na talaka. Mtu yeyote anaruhusiwa kutafuta taarifa za mtu mwingine kuhusu hali ya ndoa (status of marriage) na atapewa taarifa hiyo ikiwa imepigwa muhuri kabisa. Sasa sio kazi ya serikali kuzuia ndoa za watu kwa sababu tu wana ndoa nyingine (subsisting marriage) bali jukumu hilo tumeachiwa wananchi kwa sababu ndoa hufungwa hadharani na hutangazwa hadharani, hivyo kila mtu ana nafasi ya kujua na kupinga.
 
Wewe hujafuatilia huyo Mama anacholilia 100M sio ugoni anacholilia ni ndoa ya pili kwamba Prof amefunga ndoa ya pili amlipe 100M, rudia tena kusoma acha kukaza fuvu hilo la ugoni limemuongezea uzito tu Ila anacholilia ni kwamba Prof kafunga ndoa ya pili amlipe 100M, elewa ndio ukosoe, yaan unataka kusema amemfuma ugoni ndio amlipe 100M? Jichunguze
-hujasoma sheria ya Ndoa, kitendo Cha kuoa mke mwingine wakati Kuna Ndoa nyingine inaendelea hicho kitendo ni sawasawa na Ugoni, naona una uelewa finyu kuhusu Ugoni, kuoa mke mwingine wakati Ndoa Yako ni ya mke mmoja that amount to Ugoni, na pia kwenye sheria ya Ndoa Ni kosa, christian marriage is monogamous in nature unaelewa?
 
Sheria ya ndoa ina mikanganyiko mingi. Kuanzia uhalali na uharamu wa ndoa za utotoni hadi kuishi pamoja mwanamke na mwanamume kwa kipindi fulani kutambulika kuwa ni wanandoa.
 
Sheria ya ndoa ina mikanganyiko mingi. Kuanzia uhalali na uharamu wa ndoa za utotoni hadi kuishi pamoja mwanamke na mwanamume kwa kipindi fulani kutambulika kuwa ni wanandoa.
Hapa ninapandisha somo kuhusu SHERIA YA NDOA na taratibu zake, ni zuri sana litafaa sana hasa kwa kuzingatia comment zilizo katika uzi huu, nimeona ni vyema tupate uelewa wa sheria ya ndoa na sisi wenyewe tuwe na uamuzi wa kisheria tunapokutana na changamoto za kindoa.
 
Mtoto wa Kiha hao hawawezanagi na wasomi
Nani anataka mtu kang'ang'ana kuoga na magadi na mawese.....Prof akasema usintanie kavuta katoto keupe peee....kishundu hiihaa....kanatereza kwa kuoga na shower gel......

Wanawake jamani msibweteke mkiolewa, bado ninyi ni maua mpendeze bila mwisho, msiaachie house maid kutupikia, kutupikia...... huku nje tunakumbana na mengi....mwishowe ndo inakuwa hivi!!!
 
Nani anataka mtu kang'ang'ana kuoga na magadi na mawese.....Prof akasema usintanie kavuta katoto keupe peee....kishundu hiihaa....kanatereza kwa kuoga na shower gel......

Wanawake jamani msibweteke mkiolewa, bado ninyi ni maua mpendeze bila mwisho, msiaachie house maid kutupikia, kutupikia...... huku nje tunakumbana na mengi....mwishowe ndo inakuwa hivi!!!
Kwanza tuwekee picha zao tuwaone.

Na hako katoto keupe ni suala la muda tu jamaa ataanza kumuona kama mbuzi ataenda kwa cheusi mangala.
 
Mahakamani uwanja wa vita
Ukishakuwa na kesi yoyote
70% mawazo yako inabidi uyaelekeze
Huko,ynafikiria namna ya kutoboa huko....stressfull Sana

Ova
Saana, wakati mwingine hukumu inatoka unajilaumu ,hivi hiki ndio nimehangaikia yote hiyo. Si bora ningefanya mambo mengine
 
1. Kiufupi, Matilda ameshakua Milionea kupitia Prof. Manyaunyau, baada ya kulipwa hiyo 100m TZS fidia ya ugoni.
2. Atafungua kesi nyingine ya TALAKA, akipata atadai kugawana mali, Hapo kwa mara nyingine Matilda atasimamisha mashabiki uwanjani, Prof. atajuta kumjua Matilda,
3. Bank Teller/Mchaga lazima anywee maana process sio chini ya miaka 4.
NB: kwa hili PhD za SUA zimeingia ukungu.
Hizi kesi sio rahisi kiasi hicho. Halafu kesi ya ugoni huwezi kujipangia fidia mahakama inaamua upewe kiasi gani. Halafu Prof hawezi shitakiwa kwa ugoni, huyo wa bank ndio anashtakiwa....
 
Back
Top Bottom