Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyezi Mungu na tumshukuru sana!Tuko salama, tutembee vifua mbere
Ghorofa engineer mwenyewe mmahara, unafanya mchezo.Amen,
maghorofa biskuti sio
Dodoma lini tena hiyo?Dodoma na Morogoro kawaida
Ni mheshimiwa Abood anautikisa mji kwa vishindo vyake vya kutembelea vijiwe vya bodaboda.Nipo mitaa ya 88 mji kasoro bahari mida hii 12:31 - 12:32 Pm limepita tetemeko la ardhi japo kipimo chake hakijajulikana, labda mamlaka husika zitasema.
Enjoy your day guys
Na ile ya wadada vifutu wanene?Mwenyezi Mungu awastiri, huwa haliji moja tu.
Huanza (forequakes) matetemeko madogo ya ardhi yanayotokea mahali pamoja na tetemeko kubwa linalofuata. Wanasayansi hawawezi kusema kwamba tetemeko la ardhi ni tukio la mbele hadi tetemeko kubwa zaidi litokee. Tetemeko kubwa zaidi la ardhi linaitwa mtetemeko mkuu. Mitetemeko mikubwa huwa na mitetemeko inayofuata. Haya ni matetemeko madogo ya ardhi ambayo hutokea baadaye katika sehemu sawa na mtetemeko mkuu. Ikitegemea ukubwa wa mshtuko mkubwa, mitetemeko ya baadaye inaweza kuendelea kwa wiki, miezi, na hata miaka baada ya mshtuko mkubwa!
Chanzo: The Science of Earthquakes | U.S. Geological Survey!
Naye ni tetemeko🏞🏞🏞Ni mheshimiwa Abood anautikisa mji kwa vishindo vyake vya kutembelea vijiwe vya bodaboda.
Soma vizuri.Naye ni tetemeko🏞🏞🏞
Nawewe unapanda daladala? Jf ina vituko sanaNipo Dar natoka Tegeta naenda Kivukoni, nipo kwenye Eicher. Halafu ndio nasoma hii nyuzi ya Tetemeko. Eicher halitulii hadi nikahisi ndio tetemeko lenyewe nini. Namalizia kusoma ndo nkajua kumbe ni Moro. Maana Eicher linadundadunda hatari dah!
Pole sana bana.