Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Achana na hilo la kuku na mbwa. Je yeye alisikia huo mtetemo?kweli watanzania wengi wana matatizo ya akili kwa iyo mbwa wakibweka na kuku wakitoa milio ndio tetemeko la ardhi teyari......duuuuh mkuu umetisha
Ushajulikana mkuu kuwa ni wewe mwenye tatizo la akili,fanya mpango ukawaone wataalam wa afya ya akili.kweli watanzania wengi wana matatizo ya akili kwa iyo mbwa wakibweka na kuku wakitoa milio ndio tetemeko la ardhi teyari......duuuuh mkuu umetisha
Ndio wanyama wanaoana mambo binadamu hatuwezi kuyaona,sijui unanielewaaakweli watanzania wengi wana matatizo ya akili kwa iyo mbwa wakibweka na kuku wakitoa milio ndio tetemeko la ardhi teyari......duuuuh mkuu umetisha
Magu is turning in the grave!Hali ikoje huko uliko?
Hapa Moro limepita tetemeko la ardhi na dakika kadhaa kabla yake wamesikika kuku, mbwa wakitoa milio iliyoashiria kuwepo kitu kisicho cha kawaida.
Wee ndawoo rudisha hao mbusii faster sisini kabla oldonyo lengai iteme.Achana na hilo la kuku na mbwa. Je yeye alisikia huo mtetemo?
Tsunami mkuuElinino kubwa mfano iliyotokea sehemu za Asia wanasema wiki mbili kabla wanyama walianza kukosa utulivu nyoka ,paka na mbwa nk walianza kukimbia kuelekea milimani bila kujua sababu wawe ng'ombe mbuzi nk walipenda kukimbia kuelekea milimani na kuwarudisha chini ilikuwa shida sana hawajakaa sawa Elnino hii hapa
Ndio nawaswaga nakuona na wewe kwenye kundi hujapotea. Mbusi weweWee ndawoo rudisha hao mbusii faster sisini kabla oldonyo lengai iteme.
Umbwaaa
Sahihi kabisa wafugaji mfano ukiona mbwa anabweka sana usiku au mchana mlio wa ajabu usio wa kubweka wa kawaida kama analia vile ujue kuna fisi , joka au mwanga yuko.mbali aja uelekeo wako kuwanga eneo lako yuko mbali aja chukua hatuaWewe na yeye nani mwenye tatizo? Hata wakati wa tsunami watu wangefuata wanyama ambao walianza kuondoka mapema kutoka ukanda wa bahari athari zungepungua.
Wanyama wanahisi hatari haraka zaidi kabla yetu viumb
Sahihi kabisa narekebisha asante kusahihishaTsunami mkuu
Dar April 20- May 20 Kuna shida yaja.Tsunami kubwa mfano iliyotokea sehemu za Asia wanasema wiki mbili kabla wanyama walianza kukosa utulivu nyoka ,paka na mbwa nk walianza kukimbia kuelekea milimani bila kujua sababu wawe ng'ombe mbuzi nk walipenda kukimbia kuelekea milimani na kuwarudisha chini ilikuwa shida sana hawajakaa sawa Tsunami hii hapa
Dogo mkaldayo unavitukoNdio nawaswaga nakuona na wewe kwenye kundi hujapotea. Mbusi wewe
Hujagusa mpepe ujikute unarudi kwenye tatizo ukijua ndio unalikimbia😁😀Ndio nawaswaga nakuona na wewe kwenye kundi hujapotea. Mbusi wewe
Nilikua maeneo mkabala sana na hapo hila sikusikia kitu uwenda nilisinzia sana na mbembelezo wa mvua nyepesi hii balaa kabisa.
Wote washaingia boma ndawooHujagusa mpepe ujikute unarudi kwenye tatizo ukijua ndio unalikimbia😁😀