🤣🤣🤣🤣
Watu wanapigana kamba humu duhhh
Hata kama tuna swaum ila Uongo tunaujua
Hadith za zamani hizo eti ukifuga njiwa ukiona wanaoingia ujue unakaribia Kufa
Kumbe wahenga waongo mpooooo
Nimepiga sim ila naambiwa hakuna labda liwe earthquake la kikanda
Ungesema upo eneo gani
Achana na Kuku na Mbwa
Kuku akijamba tu anaruka na kupiga kelele mbio mtu,utafikiria kakatwa kichwa,sasa Mbwa akiwa jinga na yeye anafuata tu kubweka anajua hatari kumbe mwenzie Kajamba Mr.Kuku