Morogoro: Treni ya SGR (Dar-Dodoma) yakwama Kidete Kilosa kwa zaidi ya saa 4, sababu Hitilafu ya Umeme

Bundi na ngedere walikata nyaya

View: https://www.instagram.com/p/C-Eyv2OKi6I/?igsh=cnFjbTVhbXU0YTZ6
 
Hiyo treni ndani nzuri sana hizo mambo kwa Tren za umeme kawaida tu cha msingi ipo salama na abiria wake..
Mimi sina shida na train ni nzuri sana, kuharibika pia sio ajabu, kuchelewa sio ajabu ila mashaka yananijia kwenye customer care, TRC walitakiwa usiku uleule kuelezea na kuomba radhi kuonesha kujali, kituoni tu hawakuweza kutoa taarifa kwenye display kama kuna delay hio ndio shida yangu.
 
Kuweni wavumilivu, Tanesco imeajiri vijana wakakamavu kitengo cha kukata umeme, sasa wanafanya majaribio, na hilo ni jaribio lakwanza. Kesho watakata line ya kizimkazi, msoga wajiandae keshokutwa.
Wanasingizia ngedere huko si wanajua ngedere haziwezi kujieleza
 
Sawa kabisa upo sahihi, tatizo letu sisi hatujifunzi mkuu tupo hapa hili litatokea zaidi na zaidi. Hicho tu ndicho kinachonisikitisha.
 
 
"Kumekuchaa"# kwa saut ya mzee majuto!!!
 
Hivi hizo nyaya hazina Insulation hadi ziharibiwe na Bundi, Ngedere?

Wataalamu mnifahamishe kuhusu hili
 
There is always a weakness point nothing works with an efficiency of 100% so ni mwanzo tuu jmn atleast nasisi nchini kwetu tunazoo hata kama zitakuwa zinazimazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…