Morogoro: Treni ya SGR (Dar-Dodoma) yakwama Kidete Kilosa kwa zaidi ya saa 4, sababu Hitilafu ya Umeme

behewa la mwisho lilifuka moshi ilikua ha
Nimesema hivi, kama unaamini sababu za treni ya SGR kukwama ilikuwa ni ngedere na bundi, basi na wewe una akili ya kiwango cha ngedere na bundi. Na hata huyo anaesema hizo ndio zilikuwa sababu za treni kukwama, ana akili ya kiwango cha ngedere au bundi
 

View: https://www.instagram.com/p/C-FFUomC7o8/?igsh=cjJwYmNhOXQ2Y2Jz
 
Mama anaenda kuzindua 1 August yani kesho
Mama ajiandae na figisu nyingi mimi naona wazee wa spana wamepiga spana makusud ili mama wa watu kesho atoe maelezo mengi
 
Changamoto ni jambo la kawaida, iwe umeme au changamoto za train yenyewe.

Tusiwe wepesi kuponda au kuzodoa, hakuna kitu kimefanikiwa undwa kwa ufanisi wa 100%

Pole kwa abiria wote waliokwama.
Tatizo walisema treni lina backup ya umeme kukatika sasa wanyoshe maelezo mbona wanasema limesimama kwa itilafu ya umeme nje ya treni ....hapo ndipo utata unapo anza au backup za mafuta ya generator zake wahuni wa ccm wamesha gawana kwenye vidumu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…