Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,901
- 2,566
Mastaa wanaliwa kimasihara sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unataka ujue za nini? Unataka kuwabanjua ka ilivyo kwa I'd yako?Hizo dawa ni dawa gani?
Nataka kufahamu tu kwa tahadhari maana napita mahali pengi.Wewe unataka ujue za nini? Unataka kuwabanjua ka ilivyo kwa I'd yako?
Unganisha na ule 20percent 🎼 Chunga tamaa mbaya, 🎵chunga tamaa mbaya...Dah! Nakumbuka wimbo wa yahaya wa lady jay dee.
Kweli mwanamke ni mwanamke tuYaani mabinti wamewekwa hotel siku tatu na mtu ambaye hata hawamjui?! Wanakula na kupiga picha kule swimming pool dah. Wakati huo wanaume zao sijui wameambiwaje
Daaah!umenichesha kwa kweli.Mm binafs niliwai kula mtu kitapeli san nilijiita afsa tawala wilay ya mkalama yule dad alinikuta miataa ya ofc ya mkuu wa willaya ya manyoni Kisha siku zingine tukakutana mklama nikamfananisha na nayey akasema ameniona sijui manyoni bas bila kunioji Sana akaniuliza huku una mishe gani nikamwambia niko na Kaz za kiserkali imenileta huko manyoni ..yeye akanimbia yey Ni mfanyabiashara anakwenda kuonana na mkurugenzi Kisha ataenda mjini nikamwabia bas anipe lift Kwan gar yetu ya ofcn imearibiaka bila Shaka akasema hkn shida nimsubiri kidg amuone mkurugenzi dakik chake huyu Happ chap nikapanda mbele hao Hadi mjini sikufika hata mbali yule mtaturu alikuwa mwepes Sana naanza kumshika paja aktuliaa aksema nitulie bass nikamuomba kuwa tupitie hata sehemu tupate vinywaji aksema sehemu gani nikamwambia twende had town mnk saa tisa ninarud ofc Nina kiakao na mkuu wa willaya ..nilimleta had tanesco huko substation njia ya dar. Singda Kuna lodg nyingi kwani alinimbai anafahamika San hvyo tuzogee njje ya mjini ndiko nikampeleka huko njia ya dar .tukafanikiwa kupata lodg na iko sehemu nzuri bas aksema hajala chochite acha aagize supu ya kuku ikaletwa nusu mbili julmla elf 16 na vinywaji jumla Kama 25 HV nikamuambia alipie tukitoka hpa tuende bank nitoe pesa nitampatia bila hiyana mwanamke alivuta 30 kapeana jikoni na mm kuingiliwa 20 tu ya lodge nimemchakata had saa kumi kwani Kuna saa nilimpanga mwnangu mmoja ambaye nilimtext msg kuwa nakupigia simu nikuombe uniwakilishe kweny kikao Cha mkuu wa willya kwani nimepata dharura jamaa alinielewa faster so tukaendelea na mechi kwani mwanamke alishajihakikishi kuwa mm Ni mtumishi wa wilaya hyo hvyo Hana wasiwasi alisema alikuwenda kufatilai hati zake za mashamba yaliko kule. Mm ndio kwanza naenda kutafuta elizi za kulanguwa Mwanmke yule anapenda kula kula Sana agaagiza Tena chakula safarii ilikuja kuku makange tukapiga kuku mzima huku akijuwa kuwa nitaenda kumrudishiaa hell ilifika saa mojja tukaoga na kusepa kueleke ilipo ATM au bank ya nmb tukaenda had pale nikamwambi atafute pakingi ili nishuke nikatoe pesa kumbuka Hapo hata han namba zangu na mm Zina zake nilipo shuka tu nikajifanya neeleke usawa wa gettin nmb pale chapu nikakamata ile njia ya kwenda garaje za Happ nyuma ya nmb huyo. Nikatokomea kusiko julikanaa ...
Nb
Siku moja nitaeleza alivyo nibamba ktk mgahwa wa mam claree hap Hap singidaa muda ule alikuwa na bwana ake ..nitaeleze jinsi tulivyokutana siku nyingine na namna gani nimemaliza mzala na yey .nikaomba msamaha
Awali, Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Albert Msando, alizungumzia Kamati ya Ulinzi na Usalama ilivyopata taarifa za matukio ya kiuhalifu kwa wanawake yanayofanywa na mtuhumiwa Shayo na kuingilia kati kutafuta taarifa zake hadi walipomtia mbaroni na kuwakabidhi polisi.
HALAFU WAOAJI WA ZAMA HIZI WANAOA MWANAMKE WA DIZAINI HII, WALIO TUMIKA MBELE NA NYUMA.Hao wanawake wana tamaaa
Wanachofanya hao jamaaa
Wanamsoma mwanamke kuanzia sim na kama Ana pesa fulani
Jamaa wanawaingia wanatumia nao kumbe lengo lao ni kuwapiga sim,hela,kuwatmb hao wanawake
Alafu jamaa wanakula kona
Style hii,madem wa mjini wamepigwa sana wametomb-w sana wengine hadi kuliw jicho
Ova
SASA MITUME NA MANABII WANAKULA NA KUVIMBIWAHao vijana hawana makosa waachiwe huru.
Mwanamke ana kipato kikubwa, anadanganywa barabala I hivyo anakubali!
Siku hizi kakua na kubadili jina badala ya 20 Percent kawa 50 Percent?Unganisha na ule 50percent 🎼 Chunga tamaa mbaya, 🎵chunga tamaa mbaya...
Hao vijana hawana makosa waachiwe huru.
Mwanamke ana kipato kikubwa, anadanganywa barabala I hivyo anakubali!
Tamaa zinawaponzaKwanza wanawake wengi wanayokutana na mziki wa hao.
Jamaa ni wana tamaa.
Kuna mtu alikamatwagwa na kupelekwa, obay, aliwatafuna sana hadi kuwala jicho wadada wa mjini
Hiyo siku walipoitwa kituoni walijazana wengine walikuja na mabwana zao,
Ova
Bro hupaswi kujivunia hili jutiaMm binafs niliwai kula mtu kitapeli san nilijiita afsa tawala wilay ya mkalama yule dad alinikuta mitaha ya ofisi ya mkuu wa willaya ya manyoni Kisha siku zingine tukakutana mkalama mm nikamfananisha na nayey akasema ameniona sijui manyoni bas bila kunioji Sana akaniuliza huko ulikuwa na mishe gani nikamwambia huko nilikuwa na Kaz za kiserkali imenileta huko manyoni ..yeye akanimbia yey Ni mfanyabiashara anakwenda kuonana na mkurugenzi Kisha ataenda mjini nikamwabia bas anipe lift Kwan gar yetu ya ofcn imearibiaka bila Shaka akasema hkn shida nimsubiri kidg amuone mkurugenzi dakik chake huyu Happ chap nikapanda mbele hao Hadi mjini sikufika hata mbali yule mtaturu alikuwa mwepes Sana naanza kumshika paja akatuliaa akasema nitulie bass nikamuomba kuwa tupitie hata sehemu tupate vinywaji aksema sehemu gani nikamwambia twende had town mnk saa tisa ninarud ofc Nina kikao na mkuu wa willaya ..nilimleta had tanesco huko substation njia ya dar. Singda Kuna lodg nyingi Sana kwani alinimbai anafahamika San hvyo tuzogee nje ya mjini ndiko nikampeleka huko njia ya dar .tukafanikiwa kupata lodg na iko sehemu nzuri bas aksema hajala chochote acha aagize supu ya kuku ikaletwa nusu mbili julmla elf 16 na vinywaji jumla Kama 25 HV nikamuambia alipie tukitoka hpa tuende bank nitoe pesa nitampatia bila hiyana mwanamke alivuta 30 kapeana jikoni na mm kuingiliwa 20 tu ya lodge nimemchakata had saa kumi kwani Kuna saa nilimpanga mwnangu mmoja ambaye nilimtext msg kuwa nakupigia simu nikuombe uniwakilishe kweny kikao Cha mkuu wa willya kwani nimepata dharura jamaa alinielewa faster so tukaendelea na mechi kwani mwanamke alishajihakikishi kuwa mm Ni mtumishi wa wilaya hyo hvyo Hana wasiwasi alisema alikuwenda kufatilia hati zake za mashamba yaliko kule. Mm ndio kwanza naenda kutafuta alizeti za kulanguwa Mwanmke yule anapenda kula kula Sana akaagiza Tena chakula safarii ilikuja kuku makange tukapiga kuku mzima huku akijuwa kuwa nitaenda kumrudishiaa hell ilifika saa moja tukaoga na kusepa kueleke ilipo ATM au bank ya nmb tukaenda had pale nikamwambi atafute parking ili nishuke nikatoe pesa kumbuka Hapo hata han namba zangu na mm Zina zake nilipo shuka tu nikajifanya naelekea usawa wa getiin nmb pale chapu nikakamata ile njia ya kwenda geraji za Hapo nyuma ya nmb huyo. Nikatokomea kusiko julikanaa ...
Nb
Siku moja nitaeleza alivyo nibamba ktk mgahwa wa mam claree hapo Hapo singida muda ule alikuwa na bwana ake ..nitaeleze jinsi tulivyokutana siku nyingine na namna gani nimemaliza mzala na yey .nikaomba msamaha
Hivi mnajua kuna vijana wadogo wanawasoma humu? [emoji17]Mm binafs niliwai kula mtu kitapeli san nilijiita afsa tawala wilay ya mkalama yule dad alinikuta mitaha ya ofisi ya mkuu wa willaya ya manyoni Kisha siku zingine tukakutana mkalama mm nikamfananisha na nayey akasema ameniona sijui manyoni bas bila kunioji Sana akaniuliza huko ulikuwa na mishe gani nikamwambia huko nilikuwa na Kaz za kiserkali imenileta huko manyoni ..yeye akanimbia yey Ni mfanyabiashara anakwenda kuonana na mkurugenzi Kisha ataenda mjini nikamwabia bas anipe lift Kwan gar yetu ya ofcn imearibiaka bila Shaka akasema hkn shida nimsubiri kidg amuone mkurugenzi dakik chake huyu Happ chap nikapanda mbele hao Hadi mjini sikufika hata mbali yule mtaturu alikuwa mwepes Sana naanza kumshika paja akatuliaa akasema nitulie bass nikamuomba kuwa tupitie hata sehemu tupate vinywaji aksema sehemu gani nikamwambia twende had town mnk saa tisa ninarud ofc Nina kikao na mkuu wa willaya ..nilimleta had tanesco huko substation njia ya dar. Singda Kuna lodg nyingi Sana kwani alinimbai anafahamika San hvyo tuzogee nje ya mjini ndiko nikampeleka huko njia ya dar .tukafanikiwa kupata lodg na iko sehemu nzuri bas aksema hajala chochote acha aagize supu ya kuku ikaletwa nusu mbili julmla elf 16 na vinywaji jumla Kama 25 HV nikamuambia alipie tukitoka hpa tuende bank nitoe pesa nitampatia bila hiyana mwanamke alivuta 30 kapeana jikoni na mm kuingiliwa 20 tu ya lodge nimemchakata had saa kumi kwani Kuna saa nilimpanga mwnangu mmoja ambaye nilimtext msg kuwa nakupigia simu nikuombe uniwakilishe kweny kikao Cha mkuu wa willya kwani nimepata dharura jamaa alinielewa faster so tukaendelea na mechi kwani mwanamke alishajihakikishi kuwa mm Ni mtumishi wa wilaya hyo hvyo Hana wasiwasi alisema alikuwenda kufatilia hati zake za mashamba yaliko kule. Mm ndio kwanza naenda kutafuta alizeti za kulanguwa Mwanmke yule anapenda kula kula Sana akaagiza Tena chakula safarii ilikuja kuku makange tukapiga kuku mzima huku akijuwa kuwa nitaenda kumrudishiaa hell ilifika saa moja tukaoga na kusepa kueleke ilipo ATM au bank ya nmb tukaenda had pale nikamwambi atafute parking ili nishuke nikatoe pesa kumbuka Hapo hata han namba zangu na mm Zina zake nilipo shuka tu nikajifanya naelekea usawa wa getiin nmb pale chapu nikakamata ile njia ya kwenda geraji za Hapo nyuma ya nmb huyo. Nikatokomea kusiko julikanaa ...
Nb
Siku moja nitaeleza alivyo nibamba ktk mgahwa wa mam claree hapo Hapo singida muda ule alikuwa na bwana ake ..nitaeleze jinsi tulivyokutana siku nyingine na namna gani nimemaliza mzala na yey .nikaomba msamaha
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) Fortunatus Musilimu, alikiri jana kukamatwa kwa watu hao kwa nyakati tofauti kwa madai ya kujihushisha na vitendo hivyo kwenye mikoa mbalimbali nchini ikiwamo Morogoro, Dodoma, Mwanza na Dar es Salaam.
Baada ya kuwafanyia hivyo, watu hao huwaibia fedha simu na mali zingine na baadhi yao kuwaingilia kimwili bila ridhaa yao.
Aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni Paulo Shayo (48) mkazi wa Kihonda Maduka 10, Manispaa ya Morogoro na Dixon Mwashambo (33) maarufu kama Tajiri Maswe au Papaa, mkazi wa Buza Tanesco, Dar es Salaam ambaye hujihusisha na shughuli za udalali.
Kamanda Musilimu alisema watu hao kwa nyakati tofauti wamekuwa wakitumia unadhifu wao, magari ya kifahari na ya gharama kubwa, kuwarubuni kimapenzi na kujenga uhusiano na wanawake hasa wenye kipato kikubwa na kuwapeleka kwenye hoteli kubwa, wakiagiza vyakula na vinywaji vya gharama kubwa.
Pia alisema watuhumiwa hao huwawekea wanawake hao dawa za kulevya zinazosadikiwa kuwa ni vidonge vinavyoyeyuka kirahisi kwenye supu au vinywaji na hatimaye wanapoanza kuvurugukiwa hutoa namba za siri za benki, simu na taarifa zingine nyeti kisha kuwaibia.
Kuhusu Shayo, alisema amekuwa akitumia mbinu ya kuwapeleka wanawake kwenye hoteli za kifahari na kuwapa vitambaa vya kufutia jasho (leso) viinavyosadikiwa kuwa na dawa za kulevya, hivyo muda mfupi baada ya kuvitumia kupoteza fahamu kisha kutekeleza uhalifu.
Musilimu alibainisha moja ya matukio ya hivi karibuni alilofanya ni kwenye hoteli ya Cate iliyoko barabara kuu ya Morogoro- Dar es Salaam mjini Morogoro, eneo la Kingoluwira.
Alisema mtuhumiwa huyo alimwibia binti mwenye umri wa miaka 30 mkazi wa Dakawa na mdogo wake mwenye umri wa miaka 28 mkazi wa Kihonda Bima, fedha tasilimu Sh. milioni 1.6 na simu mbili aina ya Vivo na iPhone 7.
Papa au Tajiri Maswe, Musilimu alisema amekuwa akitumia mbinu ya kuvaa kwa unadhifu na kujifanya ni mtumishi wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) makao makuu, Dodoma.
Katika kutekeleza uhalifu wake, alisema mtu huyo akikutana na mwanamke ambaye ameshamrubuni hununua supu au mvinyo mwekundu (red wine) na kuweka dawa za kupoteza kumbukumbu kisha kumfanya atoe namba za siri za kampuni za simu na akauti za benki na kuwa rahisi kumwibia.
"Tukio la karibuni, mtuhumiwa Mwashambo alilifanya baada ya kuingia Morogoro majira ya saa 12:00 jioni akitokea Dar es Salaam. Alimwibia binti mwenye umri wa miaka 27, mkazi wa Mlandizi mkoani Pwani kwa kuchukua Sh. milioni 7.45, simu aina ya iphone 8+ na saa aina ya Rado,” alisema Musilimu.
Alisema mtuhumiwa alimrubuni mwanamke huyo baada ya kumwomba msaada wa usafiri baada ya basi kuharibika njiani eneo la Dumila, badala yake akampeleka binti huyo hadi kwenye kwenye nyumba ya kulala wageni ya SAS iliyoko mjini Morogoro.
Kwa mujibu wa Kamanda Musilimu, mtuhumiwa huyo anadaiwa amekuwa akibaka na kuwalawiti watu anaofanikiwa kuwarubuni na amekuwa alijihusisha na matukio hayo ya kiuhalifu katika mikoa ya Dar es Salaam, Arusha na Mwanza.
Awali, Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Albert Msando, alizungumzia Kamati ya Ulinzi na Usalama ilivyopata taarifa za matukio ya kiuhalifu kwa wanawake yanayofanywa na mtuhumiwa Shayo na kuingilia kati kutafuta taarifa zake hadi walipomtia mbaroni na kuwakabidhi polisi.
"Shayo licha ya kuwatapeli mabinti hao mtu na mdogo wake, aliwatelekeza hoteli ya Cate na kuwaachia deni la zaidi ya Sh. 700,000 na kufanya mabinti hao kupelekwa polisi. “Awali, alichukua vyumba viwili katika hoteli hiyo na kukaa na hawa mabinti kwa siku tatu mfululizo akitoa ofa kwa watu mbalimbali na kununua vinywaji vya gharama. Akiwa hapo aliwawekea dawa za kulevya na kuwalevya kisha kuchukua simu zao na kujitumia fedha zaidi ya milioni moja kwenye akaunti yake," alisema Msando.
Kwa mujibu wa Msando, baada ya uhalifu huo, mtuhumiwa alitoroka hotelini na kuwatelekeza mabinti hao huku kukiwa na deni la bili ya zaidi ya Sh. 700,000 hatua iliyosababisha mabinti wakamatwe na kupelekwa kituo cha Polisi Kingoluwira lakini baadaye akaagiza wafikishwe Kituo Kikuu cha Polisi.
Chanzo: Nipashe